Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 180
Kwaiyo kwa Sasa uwazi upo sindio??Kulikua hakuna uwazi , mengi tulikua tunafichwa
Iweje maisha yawe haya tunayoshuhudia,, kumbuka wewe Kama mzazi sio vyema kuwaeleza wale wanaokutegemea Kila kitu ili Mambo yaende