mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,334
- 12,466
Hatuna namna watupeleke jela wote tuSheria hairuhusu kuweka vibubu, unazuia mzunguko wa fedha, huo ni uhujumu uchumi![]()
Hatuna namna watupeleke jela wote tuSheria hairuhusu kuweka vibubu, unazuia mzunguko wa fedha, huo ni uhujumu uchumi![]()
Mkuu, mie nipo TTCL na nimeshindwa kutuma pesa kupitia TPESA.Mobile simbanking kwishney!!! M-pesa, tigo pesa et al kwishey!! Ni neema kwa mabenki! Yalikuwa yamepigwa bao sana!!! Foleni ndefu kwenye ATM zitarudi tena!