Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Duh noma utakuta gari kama hilo thamani halisi ni 100m ila limenunuliwa kwa 250m au zaidi hii ndio bongo ya Wadanganyika
Hata ungetumia gari aina gani ,swala hapo ni kujua kuwa ajali haina kinga jamani,ni kumshukuru mwenyezi na kumuombaili tuendelee kufuata kanuni za utunzaji na uendeshaji wa vyombo vya moto.
Katika gazeti la Rai Mwema Ikulu imesema lilipata pancha na si kuchomoka kama picha inavyoonyesha na ndio hilo hilo eti dereva wa rais alisahau kuondoa gear ya 4WD bila ya kujua na kusababisha gari kuwa na mwendo mdogo na kufanya rais aletewe gari lingine..Ama kweli akili za kuambia inabidi uchanganye na za kwako..
Katika gazeti la Rai Mwema Ikulu imesema lilipata pancha na si kuchomoka kama picha inavyoonyesha na ndio hilo hilo eti dereva wa rais alisahau kuondoa gear ya 4WD bila ya kujua na kusababisha gari kuwa na mwendo mdogo na kufanya rais aletewe gari lingine..Ama kweli akili za kuambia inabidi uchanganye na za kwako..