Tour campsite: Watu wanne walio serious tuanze hii biashara

Watu wa mazingira hasa ecologyst ndio wanzinguaga hizo mambo utaingia gharama hizo za kutafiti impact ya ujemzi wa hiyo camp mpka ipitishwe utashika adabu yangu na wanaqeza kukulazimisha uajiri ecologist tena mbobezi hapo ndio utakapoona ugumu qa kuwekeza hizo mambo kama una mtaji wa kununua mahema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Changamoto kweli kweli,kwahiyo kama campsite iko kwenye shamba langu napo watataka huyo ecologist?

Ecologist nadhani anatumika kwenye campsite zilizo ndani ya hifadhi na mbuga,ila kama ni shamba au site binafsi bilashaka hamna shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah
yaan ulichokiongea nimekutana nacho majuzi moro..kuna kampuni fulan huko wanamake money fresh...tena kwa bei cheap kweli kweli...kwenda milima ya udzungwa na kule waterfalls choma unapay $25..km una family watoto under10yrs ni free of charge...
kuna mikoa jaman ina vivutio vizuri sana basi tu havitangazwi..mfano Njombe na Morogor vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili wazo n zuri ikiwa utapata mawakala nchi zilizoendelea ukisema utawategemea wabongo itakuchukua miaka kadhaa kupiga hatua. Nilibahatika kupata uzoefu wa kutosha katika sekta hii kwa zaidi ya miaka mitano na ninaweza kuwaonesha (GAP) ambalo mnaweza kulitumia vizuri na mkapiga hatua ikiwa hamtaendekeza tama za utajiri wa haraka.
Mimi ni mdau wa maendeleo napenda sana kuona mwenzangu akisogea Mbele,Kupiga hatua hivyo nawakaribisha kwa yeyote mwenye swali anaweza kuuliza nikamsadia kwa kidogo ninachofahamu. Ahsanteni.
 
Hili wazo n zuri ikiwa utapata mawakala nchi zilizoendelea ukisema utawategemea wabongo itakuchukua miaka kadhaa kupiga hatua. Nilibahatika kupata uzoefu wa kutosha katika sekta hii kwa zaidi ya miaka mitano na ninaweza kuwaonesha (GAP) ambalo mnaweza kulitumia vizuri na mkapiga hatua ikiwa hamtaendekeza tama za utajiri wa haraka.
Mimi ni mdau wa maendeleo napenda sana kuona mwenzangu akisogea Mbele,Kupiga hatua hivyo nawakaribisha kwa yeyote mwenye swali anaweza kuuliza nikamsadia kwa kidogo ninachofahamu. Ahsanteni.
Asante sana,kama utakubali kua sehemu ya timu hii itakua nzuri zaidi.

Mimi nina maswali machache

1.Tunawezaje kupata mawakala kutoka nchi zilizoendelea

2.Watalii wengi wanapenda nini hasa katika nchi za kiafrica hususani Tanzania

3.Unahisi sekta ya utalii kwanini imeshikiliwa na watu wachache (monopoly).


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana,kama utakubali kua sehemu ya timu hii itakua nzuri zaidi.

Mimi nina maswali machache

1.Tunawezaje kupata mawakala kutoka nchi zilizoendelea

2.Watalii wengi wanapenda nini hasa katika nchi za kiafrica hususani Tanzania

3.Unahisi sekta ya utalii kwanini imeshikiliwa na watu wachache (monopoly).


Sent using Jamii Forums mobile app

Swadakta!

1. Inawezekana kuwapata kwa kuwa nao pia wanatafuta watu wakufanya nao kazi sababu wanapata commission kwa kila kazi wanayokupa. na mara nyingi huwa wakati usio wa ubize sana wanapenda kutembelea baadhi ya properties ili kujiridhisha wakati wakimpangia mgeni kuja kwako kulingana na budget yake wanauhakika na kile wanachomwambia atakipata kutoka kwako.

2.Mara nyingi wengi huja kwa ajili ya kuona wanyama na mbuga pendwa sana ni SERENGETI hii ni kwa ajili ya Migration ya wanyama kuvuka mto MARA kwenda Kenya. Na pia wanapenda Mt. Kilimanjaro na Ngorongoro kwa sababu ya Creator pamoja na kuona Rhino pale.

3.Sidhani kama imeshikwa na watu wachache ila naona kama wachache ndo waliofanikiwa saaana. ila kampuni ziko nyingi sana za haya masuala hususani mikoa ya Kaskazini (Arusha & Kilimanjaro). Ila wengi wenye hizi kampuni wamebase sana kutembeza watalii na ni wachache sana wanaomilika CAMP,LODGE AU HOTEL. wengi wanaomiliki Hotels na Lodge waliingia sokoni miaka ya nyuma kidogo na ndo hao bado wanafanya vizuri hadi kufika wakati huu.

Ila mkiwa serious na mnachokifanya naamini mmnaweza kufika mbali sana!
 
Swadakta!

1. Inawezekana kuwapata kwa kuwa nao pia wanatafuta watu wakufanya nao kazi sababu wanapata commission kwa kila kazi wanayokupa. na mara nyingi huwa wakati usio wa ubize sana wanapenda kutembelea baadhi ya properties ili kujiridhisha wakati wakimpangia mgeni kuja kwako kulingana na budget yake wanauhakika na kile wanachomwambia atakipata kutoka kwako.

2.Mara nyingi wengi huja kwa ajili ya kuona wanyama na mbuga pendwa sana ni SERENGETI hii ni kwa ajili ya Migration ya wanyama kuvuka mto MARA kwenda Kenya. Na pia wanapenda Mt. Kilimanjaro na Ngorongoro kwa sababu ya Creator pamoja na kuona Rhino pale.

3.Sidhani kama imeshikwa na watu wachache ila naona kama wachache ndo waliofanikiwa saaana. ila kampuni ziko nyingi sana za haya masuala hususani mikoa ya Kaskazini (Arusha & Kilimanjaro). Ila wengi wenye hizi kampuni wamebase sana kutembeza watalii na ni wachache sana wanaomilika CAMP,LODGE AU HOTEL. wengi wanaomiliki Hotels na Lodge waliingia sokoni miaka ya nyuma kidogo na ndo hao bado wanafanya vizuri hadi kufika wakati huu.

Ila mkiwa serious na mnachokifanya naamini mmnaweza kufika mbali sana!
Nashukuru sana,japo naendelea kuuliza maswali,kadhaa wa kadhaa,

1.Kwanini utalii ni garama sana Tanzania.
2.kwanini wafanya biasharara ya utalii (reputable company) ni wageni Zanzibar case and Arusha. (Watanzania wengi ni tour guiges,but main stream wako wenyewe wa nje)(kuna taarifa jana nimepata tanapa zinazoendana hili swali)
3.mawakala wa nje wanataka niwe na nini ili nifanye nao kazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom