TOTO AFRICAN VS YANGA Live

emaaaaaaaaaaaaaaaa hhahahahah gooooo hahaha offside haaaaaa huyu ema matata sana ahahhahahahahahah emaaaaaa. Hahahah yanga wanataka kufanya mabadiliko sasa hivi

kwa hiyo lilikua goli la ngapi hilo na huyo ema ni timu gani..
 
toto wametulia huyu bonge la mtu mohamedi hussein anawasumbua sana hawa mabeki wa yanga pande la mtu hili .. Hahahha piga haoo pigaa toto nipeni goli mbili tena. Zitupieni katikati ya mabeki wa yanga watamalizia wenyewe hahaha. Totoooo

Hili jamaa lina goli moja leo nani anabisha?
 
kwa hiyo lilikua goli la ngapi hilo na huyo ema ni timu gani..

Ema ni wa timu ya toto afrika..basi nikiwataja majina nitakuwa nasema na timu zao kaka ili kuepusha mkanganyo si unajua tena ligi yetu hii kazi sana kuwajua wachezaji wote
 
yanga msitegemee mteremko hapa kumbukeni alichofanywa jkt ruvu jumapili hapa so no mteremko leo hata kama
 
Ema ni wa timu ya toto afrika..basi nikiwataja majina nitakuwa nasema na timu zao kaka ili kuepusha mkanganyo si unajua tena ligi yetu hii kazi sana kuwajua wachezaji wote

kweli kabisa maana mpaka ni timu mbili zinazoandika jezi zake ya azam na simba basi ila hao wengine duuu yaitaji moyo kuwajua..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom