FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
5,035
Reaction score
4,912
Timu ya Wananchi Yanga SC leo itakuwa uwanjani katika mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone kutokea Botswana, mchezo utakochezwa uwanjwa wa Azam Complex saa 1 kamili usiku
1789216912020.png
Katika mchezo wa kwanza Timu hizi zilitoka kwa Sare ya goli 1 kwa 1, kwahiyo leo yoyote atakayepata ushindi wowote atafunzu katika hatua inayofuata

Ambapo Yanga akipata sare ya bila kufangana au ushindi wowote ule atasogea katika hatua inayofuata ya round ya pili kabla ya Hatua ya makundi

1789216977977.png

Katika mechi za CAF Champions League msimu wa 2025/26, Yanga SC imekuwa na rekodi nzuri sana ikiwa nyumbani. Imecheza mechi tano, ikishinda nne na kutoka sare moja bila kupoteza mchezo wowote.

Matokeo haya yanathibitishwa na rekodi za msimu wa 2025/26.

Jumla ya mechi 5 nyumbani:
  • 🟢 Ushindi: 4
  • 🟡 Sare: 1
  • 🔴 Kufungwa: 0
  • Magoli ya kufunga: 9
  • Magoli ya kufungwa: 1

Yanga nyumbani – CAF Champions League 2025/26​


TareheHatuaMechiMatokeo
27 Sep 2025QualifiersYanga 🆚 Wiliete SC2–0
25 Oct 2025QualifiersYanga 🆚 Silver Strikers2–0
22 Nov 2025Group BYanga 🆚 AS FAR Rabat1–0
31 Jan 2026Group BYanga 🆚 Al Ahly1–1 🤝
15 Feb 2026Group BYanga 🆚 JS Kabylie3–0

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA.
Screenshot_20260912_182405_Instagram.jpg


Usikose kufuatlia LIVE Updates za mechi hii ya moto......
 
Back
Top Bottom