Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019), Figures in Million TZS.
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)
6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)
7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)
9. Geita = 6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%)
MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine. Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar es Saalam kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tanzania.
Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza, Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri, japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk
Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma PDF hapa chini pg 48-54.
SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015
CREDITS - National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning, November 2020.
Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019), Figures in Million TZS.
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)
6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)
7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)
9. Geita = 6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%)
MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine. Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar es Saalam kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tanzania.
Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza, Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri, japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk
Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma PDF hapa chini pg 48-54.
SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015
CREDITS - National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning, November 2020.