Top ten ya Mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa

Niwasalimu kwa jina la JMT

Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019)

1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)

6. Arusha=6,562,356 (4.7%)

7. Tanga=6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)

9. Geita=6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)

MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.

Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk

Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.

SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015

CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.
Mheshimiwa, michango ktk GDP ya Taifa (Tanzania Muungano au Tanzania - Tanganyika?), na kama Muungano Zanzibar iko wapi? maana juzi tumegawana zile gharama zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sikukuu ya muungano.
 
Hii inaonyesha kumekua na maendeleo makubwa ya uchumi katika uwekezaji huko mikoani
Na haya ni matokeo ya Juhudi za kuboresha miundombinu muhimu kama barabara, reli, umeme, maji nk

Kazi iendelee

Dar ilifaidi tu centralization ya shughuli za serikali, kibiashara na bandari (sababu zingine zilidumaa au kudumazwa) ambayo ilipelekea kuwa na population kubwa sana, ila kiuhalisia haina natural advantage yoyote kwa shughuli za kiuchumi kulinganisha hata na Tanga.

Kiufupi Dar imekuzwa tu

na kwa decentralization inayoendelea ya kiserikali, Bandari nyingine zikipanuliwa zaidi, Huduma za kijamii na miundombinu inavyopanuliwa mikoani

Influence ya Dar itazidi kushuka zaidi ya Hapa japo itaendelea kuwa commercial city ta Tz kwa miaka mingi zaidi
 
Mheshimiwa, michango ktk GDP ya Taifa (Tanzania Muungano au Tanzania - Tanganyika?), na kama Muungano Zanzibar iko wapi? maana juzi tumegawana zile gharama zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sikukuu ya muungano.
Uwe unasoma sio kukirupuka ,Rudi kwenye pdf hapo kuna hayo majibu ya maswali yako
 
Dar ilifaidi tu centralization ya shughuli za serikali, kibiashara na bandari (sababu zingine zilidumaa au kudumazwa) ambayo ilipelekea kuwa na population kubwa sana, ila kiuhalisia haina natural advantage yoyote kwa shughuli za kiuchumi kulinganisha hata na Tanga.

Kiufupi Dar imekuzwa tu

na kwa decentralization inayoendelea ya kiserikali, Bandari nyingine zikipanuliwa zaidi, Huduma za kijamii na miundombinu inavyopanuliwa mikoani

Influence ya Dar itazidi kushuka zaidi ya Hapa japo itaendelea kuwa commercial city ta Tz kwa miaka mingi zaidi
Na mimi nataka ishuke zaidi Ili tuheahimiane

Miaka 20 ijayo bila shaka inaweza.kujikuta at par na mikoa mingine, yaani nataka tufike mahala kama Jimbo la california kuongoza kiuchumi marekani lakini stii Jiji la Newyork ndio Jiji kuu la uchumi
 
Dar ilifaidi tu centralization ya shughuli za serikali, kibiashara na bandari (sababu zingine zilidumaa au kudumazwa) ambayo ilipelekea kuwa na population kubwa sana, ila kiuhalisia haina natural advantage yoyote kwa shughuli za kiuchumi kulinganisha hata na Tanga.

Kiufupi Dar imekuzwa tu

na kwa decentralization inayoendelea ya kiserikali, Bandari nyingine zikipanuliwa zaidi, Huduma za kijamii na miundombinu inavyopanuliwa mikoani

Influence ya Dar itazidi kushuka zaidi ya Hapa japo itaendelea kuwa commercial city ta Tz kwa miaka mingi zaidi
Wewe una shida na Mkoa wa Dar.
Viwanda vyote vikubwa viko Dar na Watu wengi wako Dar, inapitwaje?
 
Una chuki na Dar
Chuki ya nini na kwa nini niwe na chuki? kwani kutoa maoni mbadala ndio chuki? Hilo ni wazi mtaanza kutoka Dar kuja mikoani.Kwa nini nasema hivi,jibu ni moja uwekezaji mkubwa unafanyika mikoani bandari mpya zinajengwa,viwanja vya ndege na miji mingine inakua vyote hivi vitasababisha utegemezi kwa Dar kupungua na kuifanya Dar ya kawaida.

Hivi ndivyo maendeleo yanavyotaka yaani diversification kiasi kwamba hata kasi ya watu kukimbilia Dar itapungua,na uwekezaji huu unafanyika kote kuanzia sekta za uchumi hadi za kijamii.Saizi nikitaka CT Scan naishia mbeya tuu,nikitaka heart surgery sio lazi ma kuja Dar naenda DOM,Cancer hivyo hivyo sasa huoni kwamba ushawishi wa Dar unapungua?
 
Niwasalimu kwa jina la JMT

Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019)

1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)

6. Arusha=6,562,356 (4.7%)

7. Tanga=6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)

9. Geita=6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)

MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.

Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk

Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.

SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015

CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.
Nashangaa Iringa haipo.

Kwa nini Shinyanga na Simiyu zimewekwa pamoja?

Kilimanjaro wanajitahidi katika hiyo top ten ndiyo mkoa wenye idadi ndogo ya watu ila wapo hapo walipo.
 
Back
Top Bottom