ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Imetoa data zinazoonyesha Ukubwa wa Uchumi Kwa Kila mkoa Kwa Tanzania Bara Kwa mwaka 2022.
NBS imechapisha kitabu Cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka yaani Tanzania in Figures 2022 zinazoonesha Ukubwa wa Uchumi wa Kila Mkoa(Regional GDP) na jinsi unavyochangia kwenye Pato la Taifa (GDP) Kwa Mikoa yote 26 ya Bara.
Orodha ifuatayo inaonesha Mikoa 10 yenye Uchumi na Maendelea zaidi kushinda Mingine( Regional GDP at Current Market Prices )
1. Dar es salaam =29.029
2. Mwanza =12.214
3. Mbeya =9.504
4. Morogoro=8.148
5. Arusha=8.000
6. Tanga=7.920
7. Geita=7.710
8. Kilimanjaro=7.585
9. Ruvuma=6.393
10. Tabora=6.284
Credit :NBS,Tanzania in Figures 2022.
(Figures are in Tanzania Trilioni Shillings).
My Take
-Kama Mkoa wako haupo hapo basi ujue uko sehemu ya maskini.
-Tanga inaenda kuipita Arusha na Morogoro
-Mbeya mbioni kufikia transactions za Trilioni 10 Kwa mara ya kwanza.
Cc Kitombile laizerg Mikdde Quality Control Accumen Mo instanbul The Great Haya
NBS imechapisha kitabu Cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka yaani Tanzania in Figures 2022 zinazoonesha Ukubwa wa Uchumi wa Kila Mkoa(Regional GDP) na jinsi unavyochangia kwenye Pato la Taifa (GDP) Kwa Mikoa yote 26 ya Bara.
Orodha ifuatayo inaonesha Mikoa 10 yenye Uchumi na Maendelea zaidi kushinda Mingine( Regional GDP at Current Market Prices )
1. Dar es salaam =29.029
2. Mwanza =12.214
3. Mbeya =9.504
4. Morogoro=8.148
5. Arusha=8.000
6. Tanga=7.920
7. Geita=7.710
8. Kilimanjaro=7.585
9. Ruvuma=6.393
10. Tabora=6.284
Credit :NBS,Tanzania in Figures 2022.
(Figures are in Tanzania Trilioni Shillings).
My Take
-Kama Mkoa wako haupo hapo basi ujue uko sehemu ya maskini.
-Tanga inaenda kuipita Arusha na Morogoro
-Mbeya mbioni kufikia transactions za Trilioni 10 Kwa mara ya kwanza.
Cc Kitombile laizerg Mikdde Quality Control Accumen Mo instanbul The Great Haya