Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,114
49,840
Kwa mujibu wa uchambuzi niliofanya kutumia taarifa za kikodi kutoka TRA(Tax Revenues Collections) Mwaka wa Fedha 2022/2023.,Nimebaini Mikoa 15 inayotoa Kodi nyingi zaidi kuchangia gurudumu la maisha.

Mikoa ambayo Ina Mapato makubwa ya TRA Kwa mwaka wa Fedha 2022/2023.

1. Dar=11,111.66
2. Arusha=661.67
3. Mwanza=269.75
4. Kilimanjaro=263.43
5. Dodoma=225.72
6. Tanga=215.10
7. Songwe=143.44
8. Mara=125.73
9. Kagera=113.16
10. Pwani=111.07
11. Morogoro=98.48
12. Mbeya=83.94
13. Iringa=69.12
14. Geita=55.06
15. Shinyanga=52.65

My Observation zangu ni:
-Mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiongozwa na Mwanza imefanya vizuri sana japo total figures ni kidogo Sana.

-Figures ya Arusha imehusisha na takwimu za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

View: https://www.instagram.com/p/Cxu8PTToXyH/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

-Mikoa 11 ina makusanyo chini ya bil.50 na Kuna mingine eti mwaka mzima TRA inakusanya mapato yasiyozidi bil.10 eg. Katavi, Lindi & Simiyu.

My Take:
Juhudi za kufungua fursa za Uchumi ziendelee sambamba na kuimarisha ukusanyaji wa Kodi maana Kwa sehemu kubwa Tanzania haijatofautiana sana level za maendeleo ila gap ya kimapato ni kubwa sana mpaka unashangaa inakuaje.

Angalizo:
Kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya takwimu,haya ni maoni yaliyotokana na uchambuzi binafsi hivyo sio takwimu rasmi.Mamlaka husika ambao ni TRA na NBS watatoa takwimu rasmi.

Figures in Million Tshs.
Chanzo.TRA
 

Attachments

  • Tax_Revenue_Collection_Statistics_-_Fourth_Quarter_2022_23_Financial_Year-JULY_2023.xls
    344 KB · Views: 19
Mwanza safari hii mumejitahidi mumeiahusha Kilimanjaro Cc Mikdde Kitombile
Ni upumbavu na ujinga wa serikali kuitenga Mwanza, lakini kama wakiweka vitega uchumi vya kutosha na uwekezaji wa kuridhisha mbona maokoto yatakuwa mengi sana...tazama GDP ya Mwanza na Mapato ya TRA ni vitu viwili tofauti, inaonesha kuna mianya mikubwa ya uporevu wa mapato jiji la Mwanza kulichochangiwa na serikali yenye kichwa cha panzi na ubongo wa samaki, kila kitu wao ni Dar tu.
 
Ni upumbavu na ujinga wa serikali kuitenga Mwanza, lakini kama wakiweka vitega uchumi vya kutosha na uwekezaji wa kuridhisha mbona maokoto yatakuwa mengi sana...tazama GDP ya Mwanza na Mapato ya TRA ni vitu viwili tofauti, inaonesha kuna mianya mikubwa ya uporevu wa mapato jiji la Mwanza kulichochangiwa na serikali yenye kichwa cha panzi na ubongo wa samaki, kila kitu wao ni Dar tu.
Hivi wewe nyumbu , Serikali inatengaje Mwanza ?

Kwani wewe hujui kwamba uchumi wa Kilimo na fisheries Huwa hauko taxed Kama Madini na mambo ya Utalii?
 
Kwa mujibu wa uchambuzi niliofanya kutumia taarifa za kikodi kutoka TRA(Tax Revenues Collections) Mwaka wa Fedha 2022/2023.,Nimebaini Mikoa 15 inayotoa Kodi nyingi zaidi kuchangia gurudumu la maisha.

Mikoa hiyo ni hii hapa.

1.Dar=11,111.66

2.Arusha=661.67

3.Mwanza=269.75

4.Kilimanjaro=263.43

5.Dodoma=225.72

6.Tanga=215.10

7.Songwe=143.44

8.Mara=125.73

9.Kagera=113.16

10.Pwani=111.07

11.Morogoro=98.48

12.Mbeya=83.94

13.Iringa=69.12

14.Shinyanga=52.65

15.Geita=55.06

My Observation zangu ni ,
-Kanda ya Ziwa ikiongozwa na Mwanza imefanya vizuri sana.

-Figures ya Arusha imehusisha na takwimu za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

-Mikoa 11 ina makusanyo chini ya bil.50 na Kuna mingine eti mwaka mzima TRA inakusanya mapato yasiyozidi bil.10 eg.Katavi,Lindi &Simiyu.

My Take
Juhudi za kufungua fursa za Uchumi ziendelee sambamba na kuimarisha ukusanyaji wa Kodi maana Kwa sehemu kubwa Tanzania haijatofautiana sana level za maendeleo ila gap ya kimapato ni kubwa sana mpaka unashangaa inakuaje.


Angalizo.
Kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya takwimu,haya ni maoni yaliyotokana na uchambuzi binafsi hivyo sio takwimu rasmi.Mamlaka husika ambao ni TRA na NBS watatoa takwimu rasmi.

Figures in Million Tshs.
Chanzo.TRA
Bikion 512 za Arusha ni mapato ya utalii taani ni pesa za wazungu na watalii, wakati Mwanza ni pesa kutoka kwa wananchi wenyewe, Dar ni kama collector wa maokoto yote kutoka mikoa yote ya Tanzania uchumi umeekekezwa Dar, sio ajabu kuwa ba hayo mapato🙏🙏
 
Hivi wewe nyumbu , Serikali inatengaje Mwanza ?

Kwani wewe hujui kwamba uchumi wa Kilimo na fisheries Huwa hauko taxed Kama Madini na mambo ya Utalii?
Vitega uchumi vilivyoanza kuwekwa mwanza kipindi cha JPm je vimeshaanza kufanya kazi? Na kama tayari je kwa ufanisi gani? Kama kilaza hutokaa ukanielewa.
 
Kwa mujibu wa uchambuzi niliofanya kutumia taarifa za kikodi kutoka TRA(Tax Revenues Collections) Mwaka wa Fedha 2022/2023.,Nimebaini Mikoa 15 inayotoa Kodi nyingi zaidi kuchangia gurudumu la maisha.

Mikoa hiyo ni hii hapa.

1.Dar=11,111.66

2.Arusha=661.67

3.Mwanza=269.75

4.Kilimanjaro=263.43

5.Dodoma=225.72

6.Tanga=215.10

7.Songwe=143.44

8.Mara=125.73

9.Kagera=113.16

10.Pwani=111.07

11.Morogoro=98.48

12.Mbeya=83.94

13.Iringa=69.12

14.Shinyanga=52.65

15.Geita=55.06

My Observation zangu ni ,
-Kanda ya Ziwa ikiongozwa na Mwanza imefanya vizuri sana.

-Figures ya Arusha imehusisha na takwimu za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

-Mikoa 11 ina makusanyo chini ya bil.50 na Kuna mingine eti mwaka mzima TRA inakusanya mapato yasiyozidi bil.10 eg.Katavi,Lindi &Simiyu.

My Take
Juhudi za kufungua fursa za Uchumi ziendelee sambamba na kuimarisha ukusanyaji wa Kodi maana Kwa sehemu kubwa Tanzania haijatofautiana sana level za maendeleo ila gap ya kimapato ni kubwa sana mpaka unashangaa inakuaje.


Angalizo.
Kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya takwimu,haya ni maoni yaliyotokana na uchambuzi binafsi hivyo sio takwimu rasmi.Mamlaka husika ambao ni TRA na NBS watatoa takwimu rasmi.

Figures in Million Tshs.
Chanzo.TRA
With all that happening bado kuna shule hazina madawati hadi leo
 
Bikion 512 za Arusha ni mapato ya utalii taani ni pesa za wazungu na watalii, wakati Mwanza ni pesa kutoka kwa wananchi wenyewe, Dar ni kama collector wa maokoto yote kutoka mikoa yote ya Tanzania uchumi umeekekezwa Dar, sio ajabu kuwa ba hayo mapato🙏🙏
Amna ni kama bil.172 za Ngorongoro NCAA, zingine ni za huko kwenye mahoteli,viwanda na Huduma zingine.
 
Mzee kwani hizo ni hela nyingi Kwa mahitaji ya Nchi hii?
Kuna faida gani ya kulipa kodi ikiwa umeme ni shida, maji hata huduma za afya ni mbovu?
Nipo hapa mjini kabisa maji bombani hakuna.
Kuna siku nilikuwa naangalia tv, nikaona madiwani wa ccm wanajadili uhaba wa matundu ya choo kwenye shule za msingi na sekondari. Tangu 1961 hadi 2023 bado mnahangaika na matundu ya choo, umeme mtaweza kweli?
 
Kuna faida gani ya kulipa kodi ikiwa umeme ni shida, maji hata huduma za afya ni mbovu?
Nipo hapa mjini kabisa maji bombani hakuna.
Kuna siku nilikuwa naangalia tv, nikaona madiwani wa ccm wanajadili uhaba wa matundu ya choo kwenye shule za msingi na sekondari. Tangu 1961 hadi 2023 bado mnahangaika na matundu ya choo, umeme mtaweza kweli?
Ni shida Kwa sababu hela haipo,usipolipa utavipata?
 
Kwa mujibu wa uchambuzi niliofanya kutumia taarifa za kikodi kutoka TRA(Tax Revenues Collections) Mwaka wa Fedha 2022/2023.,Nimebaini Mikoa 15 inayotoa Kodi nyingi zaidi kuchangia gurudumu la maisha.

Mikoa hiyo ni hii hapa.

1.Dar=11,111.66

2.Arusha=661.67

3.Mwanza=269.75

4.Kilimanjaro=263.43

5.Dodoma=225.72

6.Tanga=215.10

7.Songwe=143.44

8.Mara=125.73

9.Kagera=113.16

10.Pwani=111.07

11.Morogoro=98.48

12.Mbeya=83.94

13.Iringa=69.12

14.Shinyanga=52.65

15.Geita=55.06

My Observation zangu ni ,
-Kanda ya Ziwa ikiongozwa na Mwanza imefanya vizuri sana.

-Figures ya Arusha imehusisha na takwimu za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

-Mikoa 11 ina makusanyo chini ya bil.50 na Kuna mingine eti mwaka mzima TRA inakusanya mapato yasiyozidi bil.10 eg.Katavi,Lindi &Simiyu.

My Take
Juhudi za kufungua fursa za Uchumi ziendelee sambamba na kuimarisha ukusanyaji wa Kodi maana Kwa sehemu kubwa Tanzania haijatofautiana sana level za maendeleo ila gap ya kimapato ni kubwa sana mpaka unashangaa inakuaje.


Angalizo.
Kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya takwimu,haya ni maoni yaliyotokana na uchambuzi binafsi hivyo sio takwimu rasmi.Mamlaka husika ambao ni TRA na NBS watatoa takwimu rasmi.

Figures in Million Tshs.
Chanzo.TRA
Sijui kwanini bwana yule aligoma kuifanya Moshi iwe jiji. Sielewi.
 
Amna ni kama bil.172 za Ngorongoro NCAA, zingine ni za huko kwenye mahoteli,viwanda na Huduma zingine.
Ngorongoro pekee inakusanya au inategemea kukusanya zaidi ya bilion 260+hujawahi kuwaza kuwa 95/wa watalii wa serengeti wanapitia Arusha na kuhudumiwa arusha, bado nationa parks zingine, hata wapanda mlima Kilimanjaro lazima wafike Arusha japo sio wote.. Mapato ya Arusha hayana uhalisia zaidi ya pesa za kitalii hizo ni kutoka nje na 90%/ya watalii wnafika arusha, Dar nayo uchumi wa Tanzania umeelekezwa huko hakuna maajabu robo tatu ya hayo mapato ya Dar ni kutoma mikoani
Screenshot_20230518-182638_1695642043875.jpg
 
Back
Top Bottom