makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,453
- 108,541
Kwahiyo Khantwe ni jina chungu sio??
Litakuwa na uchachu labda! Vijana hawezi kutia chumvia liwe tamu.
Kwahiyo Khantwe ni jina chungu sio??
Haha haaa.....Una uhakika vifanyio vyao ni vya kike?
I am mdogo wangu,Hey...you good?
Nipo powa asee.I am mdogo wangu,
you??
Naona siku hizi unafichwa sana mtembo...honeymoon haijaisha?Nipo hapa mkuu
Honey moon ipi hiyo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Bundle limekua ghaliNaona siku hizi unafichwa sana mtembo...honeymoon haijaisha?
Dah shukran kukuona ni faraja sana. Id yangu nayoipenda sanaNipo hapa mkuu
Awwww. Nashukuru mkuu. Nipo sema naingia huku nikipata nafasi.Dah shukran kukuona ni faraja sana. Id yangu nayoipenda sana
Ni weng twafanya hvyo. Uwe unakaribia upatapo timeAwwww. Nashukuru mkuu. Nipo sema naingia huku nikipata nafasi.
Ukipata chombo kipya si unajua tena ni mwendo wa kubebishana?.Honey moon ipi hiyo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Bundle limekua ghali
Sawa mkuu nitajitahidiNi weng twafanya hvyo. Uwe unakaribia upatapo time
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweliUkipata chombo kipya si unajua tena ni mwendo wa kubebishana?.
Hunaga shughuli ndogo wewe mtanga[emoji38][emoji38]