Top 4 richest people in Tanzania 2014

Top 4 richest people in Tanzania 2014

hiyo list ina fault

hawa je?

manji
al ushoom owner wa oilcom
shah owners wa shelyys phamacetical
menek onwner wa exim bank
Jitu Patel
Zakaria
Chande

Acha ujinga weka na thamani ya utajiri wao sio unaishia tu kusema fault
 


Takwimu sinajionesha wazi hapa hakuna haja maneno marefu ,angalia orodha ya Kuanzia hizi za hapa mamilionea wafanya biashara wa TZ nawengi wale waliohusika na kashfa ya ESCROW nasiku zote walaji rushwa na wazamishaji wa mashirika na mali za umma. Kuna watu hapa huwa ndio kazi yao kungiza udinina ubaguzi wa rangi kwenye kila mada mimi sio mdini wala mbaguzi na naamini watuwote wanastahili heshima na fursa sawa, kusudi langu hapa ni kuwasuta wadini nawabaguzi na kuwaambia muelekeo wao si wa haki wala ukweli.

Huwa nashangaahapa watu jinsi huwa wanakashifu waislamu na watanzania wasio weusi. Hawa watu waliotajwakila mmoja anajuwa ni watanzania lakini kuna watu hapa wenye chembe chembe zakibaguzi kwenye damu yao wanasema sio watanzania sababu sio weusi na kuna mmojakisha sema sio waafrika sababu sio weusi – sijui nani kamwambia mwafrika ni lazima awe mtu mweusi– soma historia nini chanzo cha neno Afrika - Mungu ibariki Tanzania naAfrika




Umenena vema kabisa, ubaguzi ni kitu kibaya sana uwe wa rangi, kabila, dini, asili ya mtu anakotoka, dhehebu nk, mimi hapo naona kama kuna mtu mwenye hoja ya kukosoa angetuambia kwamba flani ni mkwepa kodi au mporaji wa mali za uma, lakini mengine ni ubaguzi na siyo vizuri kuwabagua watu kwa misingi hiyo, binafsi nafurahi sana jinsi jamaa wanavyotengeneza hela hapo kama wanatengeneza kwa HAKI, nami napenda kusoma habari zao jinsi wanavyofanya biashara na wanavyofanikiwa, nami napambana kwa bidii sana na kuomba Mungu anifikishe hata robo ya mmoja wa hao, nawapongeza wote kwenye list hiyo kama wanatengeneza hizo pesa kwa HAKI bila dhuluma
 
Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.

Mwambie huyu.
 
Kati ya hao matajiri,kuna tajiri mmoja anajifanya muongeaji sana,mwaka 2013 alikua wa pili,amekalia majungu na ugomvi na wanasiasa sasa amekua wa mwisho. Wakati wenzake wanapiga kazi yeye anatweet uharo na kugombana na wanasiasa.

Wewe na ukimya wako unadollar ngapi na niwangapi kwa utajiri Tanzania.
 
Na hang over yangu na akili yangu ya asubuhi, ukweli unabaki hivyo, Mengi ndo tajiri ambaye ana asili ya Tanzania na ndie 'No. Moko'. HUTAKI, ACHA. Nigeria wanajivunia Dangote kama Mnigeria tajiri mwenye asili ya Nigeria. Pia usiwe pusssy, kwako 10mil US Dollar kwa mwaka ni ndogo? Cha muhimu ni hajashuka kwa 10mil Us dollar. Acha kulinganisha watu, wao wahindi/ waarabu sio wanaoweka standard. Poor you!

Mwambie huyo yeye ni masikini halafu anamajungu na hajui anachokiongea. Mengi ndie mzalendo tajiri Tz anapoongea anajua anachokiongea, anauchungu na nchi hii kama mtanzania. Hao wengine hawawezi kuongea kwani ni watanzania kwa jina tu.
 


Takwimu sinajionesha wazi hapa hakuna haja maneno marefu ,angalia orodha ya Kuanzia hizi za hapa mamilionea wafanya biashara wa TZ nawengi wale waliohusika na kashfa ya ESCROW nasiku zote walaji rushwa na wazamishaji wa mashirika na mali za umma. Kuna watu hapa huwa ndio kazi yao kungiza udinina ubaguzi wa rangi kwenye kila mada mimi sio mdini wala mbaguzi na naamini watuwote wanastahili heshima na fursa sawa, kusudi langu hapa ni kuwasuta wadini nawabaguzi na kuwaambia muelekeo wao si wa haki wala ukweli.

Huwa nashangaahapa watu jinsi huwa wanakashifu waislamu na watanzania wasio weusi. Hawa watu waliotajwakila mmoja anajuwa ni watanzania lakini kuna watu hapa wenye chembe chembe zakibaguzi kwenye damu yao wanasema sio watanzania sababu sio weusi na kuna mmojakisha sema sio waafrika sababu sio weusi – sijui nani kamwambia mwafrika ni lazima awe mtu mweusi– soma historia nini chanzo cha neno Afrika - Mungu ibariki Tanzania naAfrika




Wewe wasema.
 
Ndugu yangu bado unatambua dini za watu kwa kutizama majina yao na matendo yao kiasi wanayo yafanya hadharani kuwa adaa wanadamu?
Uislamu ni nini maana kuna watu we unadhani ni waislamu kumbe ata shetani anawaogopa.

ushauri wangu hapa duniani sidhani kama ni rahisi kuitambua dini ya mtu.maana tunawaona watu kwa majina yao na kukutana nao makanisani/misikitini ila nyuma ya pazia ni mashetani wakubwa.so dini isiwe prefernce yanapatajwa majina ya watu.wanadamu ni wa hovyo sanaa.mmi kwa sasa nalia na nafsi yangu ifike peponi.

Nimeipenda hii.
 
Kaa usubiri evidence

Sijaona tofauti ya ulichoandika sasa na kabla ya kukujibu. Usiwe kama wabunge wa CCM ambao hawana hoja wawapo bungeni kazi ya ni kusema maneno kama haya: naunga mkono hoja 100%, ndiyoooooooooooooooooooooooo, awali ya yote nampongeza DR./Profesor nk.
 
mbona siwaoni:-rugemalila,ally mafuruki,riz1,lowassa
Wangefika hadi namba tano kwa Tanzania, it's obvious Ally Mafuruki angekuwepo kwenye list... kwahiyo anatakuwa kuwa top 50 in africa ili atokee kwenye list.
 
Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.
Ingekuwa umejikita kwenye suala la dini ingekuwa umeongea jambo la maana sana lakini unapoleta suala la rangi ya mtu unakuwa umepoteza mwelekeo moja kwa moja! Hivi kuna maana gani kuwa ni Mwafrika mweusi wakati ni mwizi na fisadi la kutupwa usie hata na haya wakati kwa upande mwingine kuna Mwafrika mwenye asili ya bara lingine lakini ni mtu mnyenyekevu, anayechukia dhuluma, na anayejali ubinadamu? Hivi leo hii mtu unaweza kum-discredit mtu kama Bakhressa kwavile tu ni mwarabu lakini ukawapa kudos akina Chenge kwavile tu ni msukuma?
 
Mabilionea wanaojificha na vijisenti vyao huwaoni hapa. Mabilioneo wa kujionyesha kwenye matukio ya mlimani.
Shenzi hao wanaficha hela kwa hofu tu.
 
Back
Top Bottom