Top 4 richest people in Tanzania 2014

Top 4 richest people in Tanzania 2014

Mabilionea wanaojificha na vijisenti vyao huwaoni hapa. Mabilioneo wa kujionyesha kwenye matukio ya mlimani.
Shenzi hao wanaficha hela kwa hofu tu, ni vizuri wajieweke wazi kwenye vyombo husika.
 
Juhudi binafsi na kujituma bila kukata tamaa ndio matunda ya hawa jamaa hata kama ni kwa haki au haramu lakini si wamefanya juhudi. Ni vyema tukajifunza kwao nasi tukaanza kujipanga kuwa matajiri wa mtaa, kata wilaya mkoa,Taifa na mwisho kimataifa Vijana tuache majungu na kuchukiana tuchape kazi
 
Wakuu Mengi ana biashara gani?METL kajipaisha tuu hana chochote wakati Bakhresa ana viwanda malawi,rwanda,uganda,msumbiji

Viwanda vya serikali mkuu, kachukuwa UGAWAJI yetu, hatujuwi kwa mkataba gani na maslahi gani..sidhani hata kama kodi analipa anavyotakiwa..
 
Zacharia yuko kwenye usafirishaji. Ana tanker trucks kama 300+ na malori

Na kuleta sukari, yeye na METL, kwa kukwepa kodi hawa jamaa ni balaa, mngejuwa labda mngeanza na hawa kabla ya wazee wa vijisenti..
 
Mabilionea wanaojificha na vijisenti vyao huwaoni hapa. Mabilioneo wa kujionyesha kwenye matukio ya mlimani. Shenzi hao wanaficha hela kwa hofu tu, ni vizuri wajieweke wazi kwenye vyombo husika.

Hela ya wizi au madawa ya kulevya, au kuuza ndovu za faru na tembo ni haramu kaka, wajiweke wazi wafilisiwe?! Kuna pia wale vibopa wa Ikulu na usalama wa taifa wanaotutesa mtaani na kutuchukulia mabibi zetu kwa kuwahonga nyumba na gari..list inatakiwa iwe ndefu mno
 
4. Reginald Mengi - 560 million us dollars,number 44 in Africa

3. Said Salim Bakhresa - 575 million us dollars, number 43 in Africa

2. Mohammed Dewji - 800 million us dollars,number 31 in Africa(Youngest richest African among top 50 African richest people)

1. Rostam Azizi - 0ne billion us dollars,number 26 in Africa


Source: Africa Ranking.
Ranking Interesting Facts About Africa

Sorry ni kwa mwaka 2014,nimekosea title, Moderator fanyieni marekebisho.

Matajiri kwa assets i.e. liquid assets/ current assets/ fixed ones/ capital?! Hawana mikopo hao? wanalipa kodi? wanawalipa wafanyakazi wao haki zote kama sheria ya kazi inavyosema? Viwanda vyao vinazingatia 'green economy'? walipate utajiri huo ili tuweze ku-appreciate kuwa ni matajiri. Maanake Rostam aliwahi kusema utajiri wake amerithi kutoka kwa mababu zake kabla hata ya uhuru wa Tanganyika leo Tanzania!! Mwingine nasikia eti alianzia sijui kupiga kiwi viatu mpaka kufika hapo halipo!!

Basi ma-professor na madaktari wa falsafa wa business management waandike vitabu kuhusu utajiri wa hawa jamaa ili watanzania wafundishwe mashuleni na vyuoni na kusaidia kuwafanya kuwa matajiri.
 
rostam, dewji na bakhresa...wana utajiri wa kifamilia...bib , babu, mjomba, aunt n.k..( I guess )
 
Ongezeni listi ifikie japo watu elfu 10...inawezekana na mm nikawepo. ..
 
Back
Top Bottom