KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Mbona unataka kuiharibu hii thread kwa kuingiza udini wako?!
Inawezekana amebeba uji kichwani na sio ubongo...achana nae....
Mbona unataka kuiharibu hii thread kwa kuingiza udini wako?!
Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.
Na hang over yangu na akili yangu ya asubuhi, ukweli unabaki hivyo, Mengi ndo tajiri ambaye ana asili ya Tanzania na ndie 'No. Moko'. HUTAKI, ACHA. Nigeria wanajivunia Dangote kama Mnigeria tajiri mwenye asili ya Nigeria. Pia usiwe pusssy, kwako 10mil US Dollar kwa mwaka ni ndogo? Cha muhimu ni hajashuka kwa 10mil Us dollar. Acha kulinganisha watu, wao wahindi/ waarabu sio wanaoweka standard. Poor you!
Kusema ukweli, Tajiri wa kwanza Tanzania ni Mengi. Hao wengine ni wahindi na waarabu, ni wakuja tu.
hiyo list ina fault
hawa je?
manji
al ushoom owner wa oilcom
shah owners wa shelyys phamacetical
menek onwner wa exim bank
Jitu Patel
Zakaria
Chande
Mkuu hata wewe unaweza ukawa wa kuja tu,kuna makabila kama wabena,wachaga,waha,wamakonde na makabila mengi Tanzania mengi yao yamekuja katika tembeatembea ya kutafuta maitaji mbalimbali wakajikuta wako Tanzania,mtanzania halisi anaweza akawa mtindiga au mhadzabe wengne wote wakuja,kuwa mhindi au muarabu hakumfanyi mtu kuwa sio mtanzania,unajua wahind na waarabu walifika lini Tanzania?sasa unaposema sio watanzania unafikiri wao wanatoka nchi gani na wamezaliwa wapi?
Hapo mwafrika mtanzania ni mmoja tu
Mbona huwa tunaambiwa hapa JF kuwa waislamu watu wa kunywa kahawa tu = sasa naona hao watatu kati ya wane ni wao !! don't juge people or generalise
Kati ya hao matajiri,kuna tajiri mmoja anajifanya muongeaji sana,mwaka 2013 alikua wa pili,amekalia majungu na ugomvi na wanasiasa sasa amekua wa mwisho. Wakati wenzake wanapiga kazi yeye anatweet uharo na kugombana na wanasiasa.
Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.
Yani hajafanya kitu,takwimu za mwaka 2013 zinaonyesha alikua na dola 550 milioni za marekani,akiwa sawa na Bakhresa akimtangulia Dewji,mwaka umeisha kaongeza only 10 million us dollars wakati Bakhresa kaongeza 25,Dewji kaongjeza zaidi ya 200 milion us dollars.
Amekalia majungu,umbea,chuki,roho mbaya,ugomvi na wanasiasa. Yeye mwaka hauishi hajagombana na mtu,eiza mpinzani wake kibiashara au mwanasiasa.
Hovyo sana.
Mleta mada hakuweka matajiri ambao si wenye asili ya nchi husika ametoa orodha tu na kama ni uzawa hata huko marekani na ulaya baadhi matajiri wakubwa si we ye asili ya husika kwani kuna wahindi wayahudi n.k so mataifa mengi sasahivi wanataka wenye mitaji kuja kuwekeza sisi tuna ponda.tuache wivu,na. sisi tujifunze kwa walio fanikiwa
wewe ndo kichaa, wakristo wa jf wanaamini waislam wa dunia nzima hawataki shule kazi ni kahawa na kushinda msikitini na wanasema hakuna muslim aliyegundua kitu chochote cha maendeleo,
Yani hajafanya kitu,takwimu za mwaka 2013 zinaonyesha alikua na dola 550 milioni za marekani,akiwa sawa na Bakhresa akimtangulia Dewji,mwaka umeisha kaongeza only 10 million us dollars wakati Bakhresa kaongeza 25,Dewji kaongeza zaidi ya 200 milion us dollars.
Amekalia majungu,umbea,chuki,roho mbaya,ugomvi na wanasiasa. Yeye mwaka hauishi hajagombana na mtu,eiza mpinzani wake kibiashara au mwanasiasa.
Hovyo sana.
Hata Nelson Mandela alikuwa akigombana na makaburu alipokuwa akiongoza harakati za kuwakomboa waafrika weusi wa Afrika ya kusini. Anachofanya mengi ni kutumia uwezo aliojaliwa na Mungu kutetea wanyonge; hapo tunaona manufaa ya utajiri wake.
Hao akina Dewji, Bakhresa na Rostam utajiri wao unamanufaa gani ya kijamii? Achilia mbali kodi kidogo wanayolipa? Dewji ni mbunge je amelifanyia nini taifa hili? Achilia mbali rushwa /shanga ya/za visima vya maji anavyotoa jimboni kwake?
Mengi keep up usitishwe na mafisadi na mamburula wanasifia mafisadi.