Top 4 richest people in Tanzania 2014

Top 4 richest people in Tanzania 2014

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,719
4. Reginald Mengi - 560 million us dollars,number 44 in Africa

3. Said Salim Bakhresa - 575 million us dollars, number 43 in Africa

2. Mohammed Dewji - 800 million us dollars,number 31 in Africa(Youngest richest African among top 50 African richest people)

1. Rostam Azizi - 0ne billion us dollars,number 26 in Africa


Source: Africa Ranking.
Ranking Interesting Facts About Africa

Sorry ni kwa mwaka 2014,nimekosea title, Moderator fanyieni marekebisho.
 
Last edited by a moderator:
4. Reginald Mengi - 560 million us dollars,number 44 in Africa

3. Said Salim Bakhresa - 575 million us dollars, number 43 in Africa

2. Mohammed Dewji - 800 million us dollars,number 31 in Africa(Youngest richest African among top 50 African richest people)

1. Rostam Azizi - 0ne billion us dollars,number 26 in Africa


Source: Africa Ranking.
Ranking Interesting Facts About Africa

Sorry ni kwa mwaka 2014,nimekosea title, Moderator fanyieni marekebisho.
'Ukimuona mtu maskini jihadhali usiwe kama yeye, na ukimuona mtu tajiri tafakari uwe kama yeye'
 
Last edited by a moderator:
Kati ya hao matajiri,kuna tajiri mmoja anajifanya muongeaji sana,mwaka 2013 alikua wa pili,amekalia majungu na ugomvi na wanasiasa sasa amekua wa mwisho. Wakati wenzake wanapiga kazi yeye anatweet uharo na kugombana na wanasiasa.
 
Mbona huwa tunaambiwa hapa JF kuwa waislamu watu wa kunywa kahawa tu = sasa naona hao watatu kati ya wane ni wao !! don't juge people or generalise
 
Ati anatweet uharo! Huyu lazma atakuwa Dr.Machache
 
utajiri unaletwa na dini ya mtu?poor you.
 
Kati ya hao matajiri,kuna tajiri mmoja anajifanya muongeaji sana,mwaka 2013 alikua wa pili,amekalia majungu na ugomvi na wanasiasa sasa amekua wa mwisho. Wakati wenzake wanapiga kazi yeye anatweet uharo na kugombana na wanasiasa.

2013 alikua sawa na Dewji sahv Mo yuko mbali sana na anaongeza mkwanja kwa kasi kubwa
 
Mbona huwa tunaambiwa hapa JF kuwa waislamu watu wa kunywa kahawa tu = sasa naona hao watatu kati ya wane ni wao !! don't juge people or generalise

Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.
 
hiyo list ina fault

hawa je?

manji
al ushoom owner wa oilcom
shah owners wa shelyys phamacetical
menek onwner wa exim bank
Jitu Patel
Zakaria
Chande
 
Mbona huwa tunaambiwa hapa JF kuwa waislamu watu wa kunywa kahawa tu = sasa naona hao watatu kati ya wane ni wao !! don't juge people or generalise
Mbona unataka kuiharibu hii thread kwa kuingiza udini wako?!
 
Kati ya hao matajiri,kuna tajiri mmoja anajifanya muongeaji sana,mwaka 2013 alikua wa pili,amekalia majungu na ugomvi na wanasiasa sasa amekua wa mwisho. Wakati wenzake wanapiga kazi yeye anatweet uharo na kugombana na wanasiasa.
To be the fourth richest person in TZ= To be the last owning the least amount of money in TZ?!
 
No 1 Dr KikulachoChako - 3 billion us dollars, number 17 in Africa...
 
hiyo list ina fault

hawa je?

manji
al ushoom owner wa oilcom
shah owners wa shelyys phamacetical
menek onwner wa exim bank
Jitu Patel
Zakaria
Chande

There is a lot to be desired in the way they are doing these surveys The Boss
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom