Ila sio siri kati ya majina ninayoyapenda ni Chriss.
Kwahiyo waislamu hawana 'husband materials'??
subiri nianze kujiita ili jina, kuna fursa hapa inazagazaga.
Amewowa mara nyingi tu.....lol!!
Hahahaaa!! Sio la kujiita ilitakiwa uwe unaitwa tangu utotoni ndio inanoga.
Bora ulivyokuja kumwambia mapema kabisa maana alishaanza harakati za kubadili na ID yake.
Hahahaaa!! Sio la kujiita ilitakiwa uwe unaitwa tangu utotoni ndio inanoga.
Bora ulivyokuja kumwambia mapema kabisa maana alishaanza harakati za kubadili na ID yake.
kwaiyo nikianza kujiita saivi sera zangu azikubaliki? jamani atoto nione huruma mimi chriss
Hahahaaaaa! Umenifanya nicheke!!
Niweza kukufikiria kama miamala iko vizuri, si unajua tena!!
yani kwenye swala hilo usihofu bibie, kwanza jiandAe kushika ATm card yangu
Kushika sio sababu, isie ni kuna nini kwenye account?