Top 10 'Husband Material' Names

kwaiyo nikianza kujiita saivi sera zangu azikubaliki? jamani atoto nione huruma mimi chriss

kwanza mpaka hapo ushapoteza sifa, wenye majina yetu huwa hatu bembelezagi muulize vizuri atoto atakuambia alafu wanavyo jua kuita ukiingia tu kazini asubuhi utasikia "Hi chriss! ila nawapongeza wanajua kuliita kiufundi.
 
Last edited by a moderator:
kwanza mpaka hapo ushapoteza sifa, wenye majina yetu huwa hatu bembelezagi muulize vizuri atoto atakuambia alafu wanavyo jua kuita ukiingia tu kazini asubuhi utasikia "Hi chriss ! ila nawapongeza wanajua kuliita kiufundi.
ila mkuu siunajua umoja ni nguvu utengano ni dhaifu,sasa wewe inabidi unisaidie kwa huyu mlimbwende minaamini nampata ukinisaidia ukizingatia majina yetu yana nguvu ya ziada kwake
 
ila mkuu siunajua umoja ni nguvu utengano ni dhaifu,sasa wewe inabidi unisaidie kwa huyu mlimbwende minaamini nampata ukinisaidia ukizingatia majina yetu yana nguvu ya ziada kwake

Hahaaa! Mimi huko simo we chakarika tu mkuu kwanza yeye mwenyewe kasha kwambia atakufikiria kama.....
Sijui unachochelewa kwenda PM ni nini ila hayo ndiyo madhara ya kujipachika jina ambalo sio lako. Ila mkuu worldboss pongezi zako hatua uliyofkia ni yakukimbia sio mwendo wa kutambaa tena kama unao enda nao sasa hivi hebu funga speed gavna Haraka.
Cc: atoto.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa! Mimi huko simo we chakarika tu mkuu kwanza yeye mwenyewe kasha kwambia atakufikiria kama.....
Sijui unachochelewa kwenda PM ni nini hiyo ndiyo madhara ya kujipachika jina ambalo sio lako. Ila mkuu worldboss pongezi zako hatua uliyofkia ni yakukimbia sio mwendo wa kutambaa tena kama unao enda nao sasa hivi hebu funga speed gavna Haraka.
Cc: atoto.
tatizo roho inasita maana uyu bidada yeye pesa mbele,sasa minaona kama atantoa roho yangu ivi...ila subiri niingie na gia ya kuoa labda ataupokea moyo wangu.
 
tatizo roho inasita maana uyu bidada yeye pesa mbele,sasa minaona kama atantoa roho yangu ivi...ila subiri niingie na gia ya kuoa labda ataupokea moyo wangu.

Hahaa mkuu kama mihamara haisomi usijisumbue kupoteza mda wako ila ngoja nikusaidie kumuamsha umweleze inaweza ikawa bahati yako.
Wee atoto embu hamka umjibu mwenzako alafu ndio ulale.
 
Last edited by a moderator:
siunajua tena wakina obama wakija kuchukua mafuta yangu iraq kule hari inakuwaga tete kidogo ila sio sana ,tunaweza piga maharage wiki mbili then mrenda wiki kadhaa ivi.apo vipi? apo sawa?@by chriss

Hahahaaaa uwiii eti by chriss, mlenda naupenda nitauvumilia ila sio maharage plz, alafu uvumilivu usizidi mwezi na kuwe na dalili za big money ahead.
 
kwanza mpaka hapo ushapoteza sifa, wenye majina yetu huwa hatu bembelezagi muulize vizuri atoto atakuambia alafu wanavyo jua kuita ukiingia tu kazini asubuhi utasikia "Hi chriss! ila nawapongeza wanajua kuliita kiufundi.

Yaani jina lina noga kuliita hilo, halafu liko sooo romantic.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa! Mimi huko simo we chakarika tu mkuu kwanza yeye mwenyewe kasha kwambia atakufikiria kama.....
Sijui unachochelewa kwenda PM ni nini ila hayo ndiyo madhara ya kujipachika jina ambalo sio lako. Ila mkuu worldboss pongezi zako hatua uliyofkia ni yakukimbia sio mwendo wa kutambaa tena kama unao enda nao sasa hivi hebu funga speed gavna Haraka.
Cc: atoto.

Akitupia na kamilioni kwa mpesa yaani nitamuita tu chriss

tatizo roho inasita maana uyu bidada yeye pesa mbele,sasa minaona kama atantoa roho yangu ivi...ila subiri niingie na gia ya kuoa labda ataupokea moyo wangu.

Pesa sabuni ya roho.
 
Last edited by a moderator:
Ndio itaanza now huwa maranyingi sisi sio watu wa maneno matupu kama hao ulio kwisha date nao ndio maana tumekuwa Mahusband material.

Hebu mpe sijui na nyie mnaita kichenipati?

Hahaa mkuu kama mihamara haisomi usijisumbue kupoteza mda wako ila ngoja nikusaidie kumuamsha umweleze inaweza ikawa bahati yako.
Wee atoto embu hamka umjibu mwenzako alafu ndio ulale.

Yaani nimekurupuka nikijua msg ya mpesa kumbe wito!! Aggrrrrrrrr
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo wenye majina ya kibantu na kiafrika siyo kina husband materials eh?!

Wapo mahusband materials ila hawapo kwenye top 10 world husband material names yani kama world cup vile kwani Afrika hakuna timu bora? Kama zipo mbona kwenye top 10 za dunia hazipo?
Bila shaka utakuwa umepata jibu.
 
Hebu mpe sijui na nyie mnaita kichenipati?



Yaani nimekurupuka nikijua msg ya mpesa kumbe wito!! Aggrrrrrrrr

Hahaa atoto usikasirike mwenzako ameshindwa kulala kwaajili yako embu ongea nae vizuri anaweza akarudisha matumaini na kausingizi kata mnyemelea na yeye.
Cc: worldboss
 
Last edited by a moderator:
Mmmh honey wangu bonge ya beeest hubby anaitwa emma!...huu inamaana dulla wamemkata?

11. Emmanuel
hajakatwa ila mtoa mada amekua mvivu kuendea mpaka 20 akaamua kuweka top 10 ila hongera zake angalau amekua wa kumi na moja.
 
Back
Top Bottom