Too good Looking to get a boyfriend

Too good Looking to get a boyfriend

wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Hiyo theory nzuri sana na iko very logical ila uzoefu unaonyesha kinyume na hayo unayoyasema.
 
View attachment 508053
View attachment 508054 View attachment 508055
View attachment 508029


Cherelle Neille is a single mother, working as a shop assistant and living in Manchester. And she says she’s too beautiful to get a boyfriend.

Cherelle anasema anaona wadada wenye Uzuri wa kawaida ndio wanaopata wanaume na kutulia nao lakini yeye mwenye mvuto zaidi hapati wanaume na akiwapata hawatulii nae.
Amesema angefurahia kupata mwanaume atakaye mpenda ki kweli na sio kwa Uzuri wake tu.

Amesema pia kuwa mara nyingi akipata mwanaume na kufanikiwa kwenda nae kwenye appointment (date) wanaume huishia kumsifia Uzuri wake na hawamsikilizi anachotaka kusema au kuongelea mambo ya maana. Boyfriend wake wa mwisho aliishia kumuonyesha tu kwa rafiki zake na kutaka kupiga nae picha tu.


Hivi ni kweli wadada wenye mvuto wa pekee ni vigumu kupata wanaume?!

Ni wasumbufu balaa..tena anaona fahari kuwapanga wanaume..
 
If I like something, I go for it.
Nothing is too good to be owned by me, especially when I'm interested!
 
Beauty queen safi, mi nshakuwaga na demu mkali sana na nilikuwa nainjoy tu maisha bila stress. Hana makundi first anajiamini plus plus akiwa na mimi tu. Hatoi room kwa mtu yeyote baki in or out of my presence kumtongoza and very good at ignoring attention!
Ikawaje!?
 
Beauty queen safi, mi nshakuwaga na demu mkali sana na nilikuwa nainjoy tu maisha bila stress. Hana makundi first anajiamini plus plus akiwa na mimi tu. Hatoi room kwa mtu yeyote baki in or out of my presence kumtongoza and very good at ignoring attention!
And still huwa unawadiss kweli wanawake!! Au sio huyo alokuvurugaga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom