Too good Looking to get a boyfriend

Too good Looking to get a boyfriend

Good... umefafanua vizuri. Mwisho wa siku is not about sura... lakini ni je mwanamke mwenyewe anajielewa.
kujielewa kunaenda sambamba na msimamo..yani vile anavokazia msimamo kwamba hawez kudate na mwanaume yyte wala kumuacha mme au mpnz wake sabb kashaahidi au kashaolewa..hapo pia kuna kujielewa yupo position gani na nini anachotakiwa kufanya au kuwa vipi..
 
Wengi wa hao warembo tamaa iko mbele kama tai,
Mfano leo akipewa 200,000 kesho akapata mtu mpya akampa 100,000 ya jana itasahaulika,
Ole wako mpeleke chuo ndo mwisho wa mahusiano yenu,
Au ukimuwezesha kwa kumpa mipango ya kimaendeleo basi akishaona njia umepoteza jumla!

Nadhani ni watu waliondikwa kwenye maandiko kuwa ni watu wa kuistarehesha dunia tu

Ni wachache mno wenye kuweza kujilinda na kujiheshimu,
Pia hawana fadhira hata kama utajitoa kwa mtu huyo na wewe mwenyewe kuishiwa hawezi kukusaidia hata kama watakuwa na uwezo huo.

Ni wanaume wengi wamefungwa sababu ya kutaka kuwaridhisha lakini mwisho wake umekuwa mbaya.
 
She could get it, but she's no where near a keeper with that attitude. Love her efforts and creativity tho, too bad for her only few men are ba*hite enough to take the bait.
 
wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Yep! Unayashinda majaribu.
 
She could get it, but she's no where near a keeper with that attitude. Love her efforts and creativity tho, too bad for her only few men are ba*hite enough to take the bait.


Attitude?!!,...thought she was coming real!
 
mimi ni mwanamke ambaye nasifia mwanamke mwingine kiroho safi!
una miguu mizuri ,yes nitakwambia asee uko saafi!
umependeza nitasema oh my u killed it!
una sura nzuri ntakwambia kabisa!
ILA HAKI ILE KIKWELI KABISA,SIJAONA HAPA MWANAMKE WA KUKOSA MWANAUME KWA AJILI YA UZURI WAKE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom