Too good Looking to get a boyfriend

Muongo! Sasa mbona single mother? Asimulie ilikuwaje? Yawezekana mbwembwe na maringo na Tania chafu ndio chanzo
 
uzuri ni relative term, hata hivyo kuna wale ambao ni wazuri tu in general.., tunawaona ni wazuri kwa jinsi wao wanavyojiweka. yaani kile kijisehem kizuri kinawekwa katika hali ya ww kukiona. hapo ndo utakuta si wadada wala wakaka watageuka kumwangalia.,

character ya mwanamke ndo itakayomfanya mwanaume atulie naye au la, anachowaza, anachoongea, anavyojiona hivi vitu vinamata zaidi. wewe kila saa unaniambia tu jinsi unavyosifiwa, jinsi ulivyo mzuri unafikiri mi ntafanya vipi? nami ntakusifie nipate nnachokitaka kwa mda huo tu.

wanawake wenyewe pia wanahusika na upotevu huu, kuanzia mashuleni mpaka maofisini, wadada wazuri wanakuwa kama wanatengana na wenzao wale , story zao na mambo yao sasa dooh, hata kama alikuwa hana mawazo ya kijinga anapandikizwa roho ya kutoridhika, anakuwa na mentality flani hivi kuwa kwa uzuri wake she deserves vitu vikubwa sana, she is expensive nk nk, wanaume hili ndo hatulitaki sasa.

kumakuwa na kitu flan hivi, mwanaume akikutana na mwanamke kwa kumwangalia tu hivi anajua huyu anatongozeka au hapana, sasa nikae nawewe wakati ulivyoo kaa kaa upo kusikiliza offer mpya? si nimalize niondoke? wasichana wazuriiiii wale general wapo kusikiliza offer kila siku.

Lingine wanawake wameumbwa kuvutiwa na material things. wengi mtanibishia lakin kuna ukwel hapa, Wakati wanaume wanavutiwa na wanawake. Sasa angalia Mwanaume akipata mawe au nafasi flani hivi anachotamani kuki favor ni mwanamke mzuri, mwanamke mzuri yupo kusikiliza offer hizo.

uvaaji wako, mawazo yako na character yako ni vitakudefine wewe. na ndicho kinachoamua
You nailed it,hiyo ndiyo fact,wapo kwa ajili ya kupigwa
 
View attachment 508053
View attachment 508054 View attachment 508055
View attachment 508029


Cherelle Neille is a single mother, working as a shop assistant and living in Manchester. And she says she’s too beautiful to get a boyfriend.

Cherelle anasema anaona wadada wenye Uzuri wa kawaida ndio wanaopata wanaume na kutulia nao lakini yeye mwenye mvuto zaidi hapati wanaume na akiwapata hawatulii nae.
Amesema angefurahia kupata mwanaume atakaye mpenda ki kweli na sio kwa Uzuri wake tu.

Amesema pia kuwa mara nyingi akipata mwanaume na kufanikiwa kwenda nae kwenye appointment (date) wanaume huishia kumsifia Uzuri wake na hawamsikilizi anachotaka kusema au kuongelea mambo ya maana. Boyfriend wake wa mwisho aliishia kumuonyesha tu kwa rafiki zake na kutaka kupiga nae picha tu.

Manchester woman says she is too good-looking to find love | Daily Mail Online

Hivi ni kweli wadada wenye mvuto wa pekee ni vigumu kupata wanaume?!
mbona mdada mwenyewe ni wa kawaida uzuri wake upo wapi hadi tuujadili? huyu sisemi ni mbaya ila ni wa kawaida na kama ana tabia ya kuorodhesha shida kwa wanaume pengine ndio maana wanamkacha!
 
wao raisi saaan ukitaka kutulia na dada mrembo saaana au mzuri saaana piga mimba atatulia awezi kuangaika na jitumbo aki za akika sawa ukiona anaanza dharau mtie ya pili yani mwendo huo huo ata acha mwenywe tuh ni hayo mkuuu
Ushauri murua kabisa
 
Akaombewe inawezekana ana spiritual husband ambaye hataki awe kwenye relation coz ni wife wake hili tatizo wadada wengi wanalo lakini mpaka ajue anahitaji kusugua goti kumuomba Mungu.
 
Hakuna mkate mgumu kwenye chai!
mbona mdada mwenyewe ni wa kawaida uzuri wake upo wapi hadi tuujadili? huyu sisemi ni mbaya ila ni wa kawaida na kama ana tabia ya kuorodhesha shida kwa wanaume pengine ndio maana wanamkacha!


Haha, sidhani kama ana shida mkuu.
Tatizo lake kubwa ni anataka kutulia na mwanaume lakini madai yake ni kwamba hawamchukulii serious ki hivyo wanapokutana zaidi ya kushangalia Uzuri wake, na kuongea yasiyo maana kama wako date.
 
...... All is takes is the right balls. Not cry babies insecure about their grasp on the women in their lives.
 
Back
Top Bottom