mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,724
kisa mbaya unajifariji!Duh!, Aisee. Heri yangu.🙂
kisa mbaya unajifariji!Duh!, Aisee. Heri yangu.🙂
Ila huyo manzi hapo sio kivile, naona anajifanya level za chrisbrown wakati hamorapa tuHaya bwana.
Wewe umeolewa? Nipate fursawapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Mkuu njoo pmExtrovert mnazidi kutisha wenzetu wenye ma beauty queens...lol
Wenzio wanamuona level hizo ndio maana akaongea hayo. Ila wabongo kwa kuponda dooohIla huyo manzi hapo sio kivile, naona anajifanya level za chrisbrown wakati hamorapa tu

khaaaa..kwa hio huyo n mzuri????Acha dharau.
Kizuri kinajiuza tu, huhitaji promo watu wanaelewa tu ila kwa kujinadi and shit ni kujaribu kuficha weakness flaniWenzio wanamuona level hizo ndio maana akaongea hayo. Ila wabongo kwa kuponda doooh![]()
![]()
![]()
Tatizo hao nao ukiwambia wanaringa huwa hawajijui. Kwahiyo mwanamke mrembo uweze kupata mwanaume wa kuji commit kwako unapaswa kuwa na kazi ya ziada ya kumuonyesha hauringi na huna kiburi
Si watu ndio wamemwambia au? Hebu soma maelezo yake vizuri. Sometimes sio kuna kitu unaficha ila ni kujiamini.Kizuri kinajiuza tu, huhitaji promo watu wanaelewa tu ila kwa kujinadi and shit ni kujaribu kuficha weakness flani
Hahahahahha kumbe huwa mna maindi eeh, zile za
Si watu ndio wamemwambia au? Hebu soma maelezo yake vizuri. Sometimes sio kuna kitu unaficha ila ni kujiamini.

Hahahahahha kumbe huwa mna maindi eeh, zile za
"Antiii...mrembo, dah kweli mungu huwa hakosei sio siri umeumbika uongo dhambi, hongera sana mamaa rangi yako tu sina la kuongeza mungu fundiii!"
asa ole wako usiseme asante, ujibu nyodo hapo uone utaskia...
"Acha pozi bibie ongea vizuri na wanaume uvae chupi ya dukani wewee,cheki lilivyo ovyoo kwanza ulipi wala nini!"
Hahahahah

Tatizo la wanawake wengi wazuri wanakuwa Na Viburi kwa sababu ya Uzuri wao Yani ikatokea Mwanaume Hata Ukamtia Makofi mawili Tu Utasikia "wenzako Wananililia Mie" ...Madharau Mengi halafu sio wasafi sana Unakuta Anashindia maPafyumu tu Pesa Ukitafuta Malengo Yake yeye Ni Kupendeza Kwanza Kutunza Uzuri wake...Inawezekana bwana, ni nyie tu wakaka naona huwa mnaogopa wanawake wenye vyote, sijui kwa sababu zipi.

Tatizo la wanawake wengi wazuri wanakuwa Na Viburi kwa sababu ya Uzuri wao Yani ikatokea Mwanaume Hata Ukamtia Makofi mawili Tu Utasikia "wenzako Wananililia Mie" ...Madharau Mengi halafu sio wasafi sana Unakuta Anashindia maPafyumu tu Pesa Ukitafuta Malengo Yake yeye Ni Kupendeza Kwanza Kutunza Uzuri wake...
halafu wanawake Wazuri wengi Hawawezi Kujishusha KweNye Maisha Ukimwambia Apikie Kuni Kwenye Moshi Utakuta Ma Selfie Halafu Unakuta Status yake At "My Grand Pa Or At My Village " Yani Hawakubali Uhalisia Kila Cku Anataka Awe Top Rank Ya Uzuri wake
Wanawake wazuri Ni washereheshaji Tu ukitaka Uishi Naye Ukubaliane Na yote![]()
[emoji124at]

Hahahahahha kumbe huwa mna maindi eeh, zile za
"Antiii...mrembo, dah kweli mungu huwa hakosei sio siri umeumbika uongo dhambi, hongera sana mamaa rangi yako tu sina la kuongeza mungu fundiii!"
asa ole wako usiseme asante, ujibu nyodo hapo uone utaskia...
"Acha pozi bibie ongea vizuri na wanaume uvae chupi ya dukani wewee,cheki lilivyo ovyoo kwanza ulipi wala nini!"
Hahahahah