Mwanamke mzuri sana ni sawa na shamba la viazi lililoko karibu na shule!

wadada wadangaji wana mbinu 
We sikufikii hata theluthi.Haha... mimi na wewe shilawadu nani sasa
Na jua kwanini unasema hivi. Haya nimeachaWe sikufikii hata theluthi.
Kwasababu gani?Na jua kwanini unasema hivi. Haya nimeacha
Hao ndio wanafaa sasa.Kwa alimia kubwa nakubaliana na hiyo statement yake, Wanawake "Wazuri wazuri" wengi wao wanakuwa na demands nyingi kwa ajili ya Ku maintain uzuri wao, then wanakujiamini Fulani wakijiaminisha kuwa soko lao ni kubwa coz wanakuwa na idadi kubwa ya tongozo, then some of them sio wanyenyekevu ni wajuaji juaji flan an wanajiona wako too perfect.
Wanafaa kwa matumizi flan ila sio katika mahusiano permanent. Japo sio wote miongoni mwao. Ukiwa umeruka "mikuki" mingi utabaini ukweli huu.Hao ndio wanafaa sasa.
Hao ndio wanawafaa.Wanafaa kwa matumizi flan ila sio katika mahusiano permanent. Japo sio wote miongoni mwao. Ukiwa umeruka "mikuki" mingi utabaini ukweli huu.
Siyo kweli. Wanawake warembo sana wanalewa sifa na kuwa na dharau. Huoni huyo tatizo lake ni kwamba hasikilizwi...wana madai ya ajabu na kutaka kuabudiwa. Ni kweli sura na urembo wa mwanmke utamvuta mwanaume lakini kudumu naye sana sana ni tabia. Maana tabia zikiwa mbaya hata huo uzuri mwanaume anakuwa hauoni tena. Ndo maana wanatumika na kuachwa.Inawezekana bwana, ni nyie tu wakaka naona huwa mnaogopa wanawake wenye vyote, sijui kwa sababu zipi.
Haha haaa... We uko category Ipi?Hao ndio wanawafaa.