Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,196
Ndivyo walivyo hawa bwana. Ila uzuri upo machoni pa mtu so tusiwabishie maybe wao wanamuona mbaya.Uko sawa, ni watu wamemwambia.
Haha!, Nakumbuka hizo, wakaka ni shiider!![]()
Yaani watakuchambua kuanzia unywele hadi kisigino, hadi upotelee cha moto umekiona.