GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Mwaka jana ilipita wima.....October wima...kisa kichaa nataka kupanda bei maradufu ,.heri inyeshe njaa ipungieHuu ni msimu wake tu hakuna kingine
Kazi ipi?Kwa mvua hii walelazima washinde, kongole kwa madam président kazi nzur tunaiona
Saigon Kariakoo.Hivi we jamaa ni dereva bodaboda? Na kama ndio , kijiwe chako kipo sehemu gani kwà hapo Dar?
Uliona jinsi tarehe 17 Joto lilivyozidi, mpaka kutishia amani?, / waweza Pima utukufu kwa haya!, mvua toka enzi za mababu ilikuwa ni ishara ya neema na utukufu,yaani cheko la mungu.Ndio neema ya utawala uliotukuka
🤣🤣🤣kazi wanayo.Iwe jua iwe mvua, 🐸 wanaenda cheza
Acha uongo hiyo mvua iko wapi! Ikinyesha mtaani kwako unadhani ni kote.Kuna nini labda Kimejificha hapa? Je, hii Mvua inamuadhimisha Hayati Dk. Magufuli kwa Kifo chake Miaka Miwili iliyopita au ni Mvua ya Kuonyesha kuwa Mama ( Rais Samia ) ana Baraka na sasa Tozo, Mikodi, na hali ngumu ya Maisha iliyoko ndiyo inaenda kuwa Historia?
GENTAMYCINE nimekaa pale kusoma tu Comments zenu Tukuka huku nikiona dalili zote za Mechi ya CAFCC Yanga SC na Monastir FC ambayo naiombea Ushindi kutokuwepo kwani nimedokezwa Mkeka wa kwa Mkapa sasa unaanza Kushiba Maji ya Angani.
Masika imeanza hakuna cha JPM wa Samia.Kuna nini labda Kimejificha hapa? Je, hii Mvua inamuadhimisha Hayati Dk. Magufuli kwa Kifo chake Miaka Miwili iliyopita au ni Mvua ya Kuonyesha kuwa Mama ( Rais Samia ) ana Baraka na sasa Tozo, Mikodi, na hali ngumu ya Maisha iliyoko ndiyo inaenda kuwa Historia?
GENTAMYCINE nimekaa pale kusoma tu Comments zenu Tukuka huku nikiona dalili zote za Mechi ya CAFCC Yanga SC na Monastir FC ambayo naiombea Ushindi kutokuwepo kwani nimedokezwa Mkeka wa kwa Mkapa sasa unaanza Kushiba Maji ya Angani.