GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,073
- 107,570
Kuna nini labda Kimejificha hapa? Je, hii Mvua inamuadhimisha Hayati Dk. Magufuli kwa Kifo chake Miaka Miwili iliyopita au ni Mvua ya Kuonyesha kuwa Mama ( Rais Samia ) ana Baraka na sasa Tozo, Mikodi, na hali ngumu ya Maisha iliyoko ndiyo inaenda kuwa Historia?
GENTAMYCINE nimekaa pale kusoma tu Comments zenu Tukuka huku nikiona dalili zote za Mechi ya CAFCC Yanga SC na Monastir FC ambayo naiombea Ushindi kutokuwepo kwani nimedokezwa Mkeka wa kwa Mkapa sasa unaanza Kushiba Maji ya Angani.
GENTAMYCINE nimekaa pale kusoma tu Comments zenu Tukuka huku nikiona dalili zote za Mechi ya CAFCC Yanga SC na Monastir FC ambayo naiombea Ushindi kutokuwepo kwani nimedokezwa Mkeka wa kwa Mkapa sasa unaanza Kushiba Maji ya Angani.