MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Mkishikwa hapo kwenye kuhonga nyumba za serikali kwa mahawara huwa mnawewesekaLugha chafu ya hasira, ya mtu asiyekuwa na kisomo wala la kuandika.
Mkishikwa hapo kwenye kuhonga nyumba za serikali kwa mahawara huwa mnawewesekaLugha chafu ya hasira, ya mtu asiyekuwa na kisomo wala la kuandika.
sIKU NYINGINE UKIENDA PIGA PICHA. HALAFU NENDA KAWAHOJI. THEN OMBA KUONANA NA SUPERVISOR WAO.Jipu uchungu nimeliona hospitali ya Mwananyamala kitengo cha maabara watu wanaanza kupewa huduma saa tano. Na wakati wafanyakazi wanafika ofisini saa moja wao ni stori tu na kuacha wagonjwa wanaendelea kuzidiwa....
Mtu amepima toka jana lakini kumpa tu majibu yake asubiri hadi saa tano ndo waanze kutoa majibu....wao na stori tu ofisini
Poleni sana kero zetu ndo wimbo wetu wa kudumu na chanzo cha kura zetu!4. TARIME, MARA (Mwaka 2013 mgodhi wa North Mara ulifanya tathimini ya ardhi kwenye eneo linalozunguka mgodhi huo na kukata kata mazao na vitega uchumi vingine vya wananchi hao, lakini ni miaka 4 sasa hakuna aliyelipwa, cha kushangaza DC wa TARIME haeleweki kichwa kipo wapi maana kila akiitisha mkutano haonekani na akionekana huja na majibu ya kukatisha tamaa wananchi)
Sent using Jamii Forums mobile app