Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Napenda kutumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais JPM kwa kumteua Angellah Kairuki kuwa waziri wa Madini.
Bila chembe hata moja ya unafiki, Angellah Kairuki ni mmoja kati ya mawaziri ninaowakubali sana.
Namkubali Kairuki kutokana na msimamo wake kwa kile anachokisimamia.
Ni mtu ambaye huwa hateteleki. Ni mtu mwenye msimamo na anayejiamini sana.
Mheshimiwa Angellah Kairuki, nakutakia kazi njema na yenye mafanikio makubwa katika wizara mpya uliyopewa.
Mungu akutangulie na kung'oa visiki vyote vilivyo mbele yako ili usijikwae.
 
U
Napenda kutumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais JPM kwa kumteua Angellah Kairuki kuwa waziri wa Madini.
Bila chembe hata moja ya unafiki, Angellah Kairuki ni mmoja kati ya mawaziri ninaowakubali sana.
Namkubali Kairuki kutokana na msimamo wake kwa kile anachokisimamia.
Ni mtu ambaye huwa hateteleki. Ni mtu mwenye msimamo na anayejiamini sana.
Mheshimiwa Angellah Kairuki, nakutakia kazi njema na yenye mafanikio makubwa katika wizara mpya uliyopewa.
Mungu akutangulie na kung'oa visiki vyote vilivyo mbele yako ili usijikwae.
UKISTAAJABU YA MUSA UTAONA YA MAFARAO KULE MAGOGONI, HIVI UNAJUA MAANA YA KUSIMAMIA KAULI NA MAANA YA MSIMAMO, JAMANI KAMA HAWA NDO WATANZANIA WENYEWE BASI TUKUBALI YAISHE. HUWA UNAFUATILIA SANA KAULI ZA MAMA HUYU NA MATENDO YAKE VINA SHABIHIANA ?AU UMETIA USHABIKI TU WA KIMHEMUKO?
 
Napenda kutumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais JPM kwa kumteua Angellah Kairuki kuwa waziri wa Madini.
Bila chembe hata moja ya unafiki, Angellah Kairuki ni mmoja kati ya mawaziri ninaowakubali sana.
Namkubali Kairuki kutokana na msimamo wake kwa kile anachokisimamia.
Ni mtu ambaye huwa hateteleki. Ni mtu mwenye msimamo na anayejiamini sana.
Mheshimiwa Angellah Kairuki, nakutakia kazi njema na yenye mafanikio makubwa katika wizara mpya uliyopewa.
Mungu akutangulie na kung'oa visiki vyote vilivyo mbele yako ili usijikwae.
Lbda km unafurahia uongo wake ktka wizara anazoziongoza,maana hakuna waziri muongo km Kairuki na Mwijage!!!
 
Binafsi napenda kutumia fursa hii adhimu kuendelea kumshukuru na kumpongeza mheshimiwa Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli pamoja na Serikali yake yote kwa kazi njema wanazozifanya kwa ajili ya watanzania.
Zaidi sana natoa pongezi zangu kwao kutokana na UZALENDO usio na mashaka walio nao na unaoonekana kwa wazi kabisa.
Hapa katikati kumekuwa na shutma nyingi sana dhidi ya hawa viongozi wetu. Lakini kwa mtazamo wangu nimeona shutuma hizo hazina ukweli ndani yake.
Mimi naomba tumwache Rais afanye kazi yake ya kuwaletea watanzania maendeleo.
Kwa hakika, kazi hii ya kutetea rasilimali za nchi inayofanywa sasa kama ingefanywa kikamilifu tangu awamu zote zilizopita nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo.
Sina maana kwamba awamu zilizopita hazikufanya kitu, la hasha, kila awamu imefanya mengi tu mazuri.
Nihitimishe kwa kuwaomba watanzania tumuunge mkono Mh. Rais wetu, kwani hizi rasilimali anazopigania si kwa ajili yake na familia yake bali ni kwa ajili ya watanzania wote. Amina.
 
Mh Magufuli njoo hapa kahama uone barabara za mitaani,, hata kuchongwa tu kwa greda hakuna .Taarifa tulizonazo nikuwa pesa zote wanagawana na kujenga vidaraja vidogo vinavyobebwa na maji.Kwakuwa DC yupo lakini haoni njoo ufukuze wote kuanzia engineer, mkurugenzi na DC. Tuokoe watu wa kahama kwa wizi.
 
Mh Magufuli njoo hapa kahama uone barabara za mitaani,, hata kuchongwa tu kwa greda hakuna .Taarifa tulizonazo nikuwa pesa zote wanagawana na kujenga vidaraja vidogo vinavyobebwa na maji.Kwakuwa DC yupo lakini haoni njoo ufukuze wote kuanzia engineer, mkurugenzi na DC. Tuokoe watu wa kahama kwa wizi.
Magufuri ndo Diwani uliyemchagua au mihemko inakusumbua?
 
Wajipangae maana DEDs wa Bukoba Rural na Municipal kazi zishaota nyasi
Kahama wana Mbunge na Halmashauri sasa mbona kama hawatimizi wajibu wao na unadhani Bukoba amefanya kwa bahati mbaya kule halmashauri ipo Chadema kwahiyo alikuwa anafagia njia kuonyesha kuwa hela zinaendaga
 
We jamaa utakuwa unaishi Mbulu endelea kuota sisi wa mjini hapa tunaenjoy maisha karibu hapa Jacks the boss
 
Katika takriban miaka miwili hii ya urais wa Magufuli, bila shaka kuna vingi tumeona.

Vingine tulihisi, sasa vimedhihiri.

Kuna kitu kipi, kibaya au kizuri, cha sifa au inda, ambacho umekigundua au ulihisi na umedhihirishiwa kutokana na urais wa Magufuli?
 
Unafiki,undumila kuwili na uwoga wa wa-Tanzania kujidhihirisha. Sikujua kuwa asilimia kubwa ya wananchi hatuwezi kuwa wazi kwa hisia na mawazo juu ya mustakabali wa nchi.
Mitaani ni manunghuniko,kkukata tamaa na hofu tupu Ajabu ni nadra kukuta mijadala ya wazi Sina hakika na kiwango cha Elimu ni sababu pia.
 
Kwangu sikujua kuwa kuna watanzania wabinafsi wasiopenda wengine wasionakipato wapate kidogo tunachopata kama nchi. Watu wachoyo wapenda rushwa na wabinafsi. wanaopinga juhudi za raisi kusaidia tabaka la walalahoi.

Mungu saidia rais wetu Magufuli.
 
Nimegundua Watanzania wengi hawawezi kupigania haki zao za msingi za kiraia na hii inasababisha walio madarakani kujifanyia watakavyo.
Hii inapelekea hata rais kuvunja tu katiba kila anapojiskia na hakuna hatua inayochukuliwa kumzuia.

Unawezaje kuzuia maandamano kwenye nchi! mikutano halali ya kisiasa! Unafungia magazeti 4 ndani ya miezi mitano!

Unatoa maagizo kwa spika wa bunge wafukuze wasiropokee ndani ili watoke waje huku nje mimi nitawashughulikia huku ni kuingilia uhuru wa bunge.

Unapuuza hadi court order ya kusitisha ubomoaji wa makazi ya watu, uheshimu sheria na tena ni kuingilia uhuru wa mahakama.


Watanzania hawawezi kuwadhibiti viongozi ni kama wanafikiri iko siku kuna mtu atakuja awapiganie hali zao za maisha na kila kitu kitaenda sawa bila wao kushiriki hizo harakati.
 
Wawekezaji kwenye sekta ya madini hawana hata senti moja hapa Tanzania zaidi ya mishahara.
Hii ni kweli au fake news mazee? Una maana gani "hawana hata senti moja hapa Tanzania zaidi ya mishahara" ?
 
Back
Top Bottom