Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

294e065f-36df-4a2c-9093-7889459d70fb.jpg

Jamani hapa unaweza kusema changamoto
Kila jumamosi saa 3 usiku mpaka saa 5 kipindi LIVE
YAN NI PAPO KWA PAPO
 
Najaribu kuandika kwa uchungu sana ni kweli tunahitaji maendeleo kwenye taifa letu ila kusubiria maendeleo hayo iwe kero na maisha magumu kwa wahusika kwa mfano mm na wenzangu ni kati ya wananchi ambao nyumba zetu zimepimwa ili kubomolewa kwa ajili ya utanuzi wa barabara ya sengerema nyehunge Nzela ni muda mrefu sasa tangu wameweka zile alama zao na nguzo za zege sasa mwaka wa 3 tunashindwa kuendeleza nyumba zetu tunashindwa kukarabati nyumba zetu kwa maana hiyo serekali ituambie lini wanafanya tasimini kwa ajili ya fidia au tuendelee na maisha yetu kama zamani tukarabati na kupangisha ili tupate chakula
 
Jipu au Nero ni tumeya ajira zinatolewa kwakujuana hasa hasa katika nafasi nzuri nzuri mfano BOT,Airport n.k wanawapa kazi wajomba zao na watoto wao hali kwamba hawana sifa.mfano wadumu ktk ndege wamenenepeana kama vifusi...
 
Ndugu wana JamiiForums,

Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.

Karibuni sana.

MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.

Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.

Habari
kumekuwa na changamoto sana kwenye soko la ajira vijana wengi sana wapo mtaani na wanasiasa wamenukuliwa mala kadhaa waki waambia vijana wajiajiri. Laba ushauri wao ni bora lakini leo nita ongelea kwa upande mwingine
Kwa research fupi nilio fanya vijana wengi ambao wamemaliza masomo wamekuwa waki hangaika sana kwenya swala la ajira ambayo ni changamoto kubwa sana ambayo sioni serikali kama ina lifanyia ufumbuzi ukifatilia
Tasisi nyingi za serikali zikitaka kuajiri ni kupitia utumishi na kumekuwa na wingi wa vijana inapo tokea kazi kutangazwa ila taasisi nyingi zina intern sasa namba nizungumzie kuhusu hawa vijana wanao jitolea kwenye mashirika ya serikali
Vijana wengin wanao jitolea wanapata faida ya uzoefu kazini ila wamekuwa wanafanya kazi na kuwa faida sana kwenye baadhi ya taasisi ila kwann vijana hawa hawapati ajira za moja kwa moja wamekuwa wakipew ahadi kadha wa kadha kipi kinacho kwamisha vijana hawa kuajiliwa kuna taasisi ambazo zina intern wengi unakuta kitengo kizima asilimia kubwa kina endeshwa na vijana wanao jitolea je serikali bado aijaona manufaa ya vijana hao au ni kipi hasa kina kwamisha kuawapa ajira ya kudumu maana wamekuwa ni chachu ya mafanikio ya taasisi nyingi mfano TTCL,NSSF,WCF nk
Leo nimeona niongelee ilo kuna siku nitakuja kuongelea kazi wanazo fanyishwa vijana hawa
 
Habari
kumekuwa na changamoto sana kwenye soko la ajira vijana wengi sana wapo mtaani na wanasiasa wamenukuliwa mala kadhaa waki waambia vijana wajiajiri. Laba ushauri wao ni bora lakini leo nita ongelea kwa upande mwingine
Kwa research fupi nilio fanya vijana wengi ambao wamemaliza masomo wamekuwa waki hangaika sana kwenya swala la ajira ambayo ni changamoto kubwa sana ambayo sioni serikali kama ina lifanyia ufumbuzi ukifatilia
Tasisi nyingi za serikali zikitaka kuajiri ni kupitia utumishi na kumekuwa na wingi wa vijana inapo tokea kazi kutangazwa ila taasisi nyingi zina intern sasa namba nizungumzie kuhusu hawa vijana wanao jitolea kwenye mashirika ya serikali
Vijana wengin wanao jitolea wanapata faida ya uzoefu kazini ila wamekuwa wanafanya kazi na kuwa faida sana kwenye baadhi ya taasisi ila kwann vijana hawa hawapati ajira za moja kwa moja wamekuwa wakipew ahadi kadha wa kadha kipi kinacho kwamisha vijana hawa kuajiliwa kuna taasisi ambazo zina intern wengi unakuta kitengo kizima asilimia kubwa kina endeshwa na vijana wanao jitolea je serikali bado aijaona manufaa ya vijana hao au ni kipi hasa kina kwamisha kuawapa ajira ya kudumu maana wamekuwa ni chachu ya mafanikio ya taasisi nyingi mfano TTCL,NSSF,WCF nk
Leo nimeona niongelee ilo kuna siku nitakuja kuongelea kazi wanazo fanyishwa vijana hawa
Ajira ni kero na inauma zaidi kuona wageni wengi wakifanya kazi bila vibali vya kazi wanachukua nafasi zetu pia serikali haipati kodi
 
Watumishi tunadai shabiki zetu hatujawahi kupanda madaraja wala kubadilishiwa mishahara miaka mitano sasa
 
NAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
 
Brela ni tatizo zana wanamkwamisha sana juhudu Za wawekeaje wanajifanya wanajua kila.kitu yaani mtu uko huko ndani maporini umeamua kusajili biashara yako wanachukua hela na wanakusumbua eti hujaeleźea viZuri location una print mara nyingi sana hadi inaźidi hela ya kulipia kwao
 
Matatizo yapo huku mtaani kuna miradi ya uzoaji takataka imeshakuwa Keri maana kwa mwezi watu wanakusanya zaidi ya milioni 10 lakini mradi wenyewe kwa mwezi ni laki 4 tuu. Ukiuliza hizo milionis nyingine zinakwenda wapi hakuna jibu. Hii ndio nchi ya Tanzania ya Mama
 
Nchi inaliwa na weusi km nyie mnalia.

Akila Mzungu.Muarabu mnaufyata yanachukiana yenyewe kwa yenyewe!!

Ulaji hata mbinguni upo.shetani aliposema na kudai haki ili ale km Mungu.

nae eti akae kwenye kiti cha enzi yalimpata makubwa mpaka leo akili zimeruka!! anaonea watu aibu. Gataki kujitokeza hadharani.

Mleta mada na jiwe wako ni wajukuu wa shetani mna tabia zile zile sasa hao TRA wakale wapi?kwa mkeo nymbafuuu kufwaaa!!!

Jiwe halipo tena....
 
Muda wa kuanza huduma hospitali au vituo vya afya vya umma ni tatizo. Usafi unafanywa kuanzia saa 2. Wodini ndo usiseme, kunanunuka, majibu yanasikitisha!
kwa nini usisafishe wewe mtumiaji? Huna ubwana mkubwa wowote.
Kutumia hovyo utumie wewe akusafishie mwigine kwa hela gani uliyo nayo.

Anaenukisha ni wewe mtumiaji huduma. Huoni hata aibu?

siyo wafanyakazi wa ward kwa malipo gani manono ya huyo mfanya kazi unadhani...mnastahili hayo kwa tabia zebu chafu.

Km vipi nenda Agakhani pasafi kwa wasafi uone gharama zake.nyie wachafu mnastahili uchafu msilie.unatoka kwa mtogole unataka pawe km agakhani mweee!! Si kila mswahili ataomba kulazwa!!

Unatamani pawe km TMJ Hosp??? Ni gharama zile nenda kaonje huduma bora kwa walio barikiwa maskini wewe....
 
Back
Top Bottom