Nchi nyingi zilitumia mtutu na kumwaga damu ili kudai Uhuru. Lkn Tanzania hizo hizo wonders zilitupatia uhuru bila kumwaga damu.Tanzania raha Rais anaombwa kuwe na Katiba Mpya.hahaha wonders shall never end!.
Kqma hilo la kudai Uhuru liliwezekana basi hata hili la katiba mpya linawezwkana.