Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Kwangu sikujua kuwa kuna watanzania wabinafsi wasiopenda wengine wasionakipato wapate kidogo tunachopata kama nchi. Watu wachoyo wapenda rushwa na wabinafsi. wanaopinga juhudi za raisi kusaidia tabaka la walalahoi.

Mungu saidia rais wetu Magufuli.
Hapa kwenye kusaidia Tabaka la walala hoi ndio napata shida labda pale anapotokea mama katika mikutano yake akiwa namalalamiko huwa anasaidia sana hapo nakubali lakini haraka iliyotumika kununua hizo ndege ndio ingetumika kutengeneza reli hapo ningesema kweli awamu hii serekali ipokwaajili yawanyonge mpakasasa kwakukimbilia hayo mandege naona wenyevitambi ndio wamenufaika sisi watu wachini hatusafiri kwandege tusipakwe mafuta naikitokea mlalahoi kupanda ndege basi ni 1 kwa 10000
 
Nimegundua Watanzania wengi hawawezi kupigania haki zao za msingi za kiraia na hii inasababisha walio madarakani kujifanyia watakavyo.
Hii inapelekea hata rais kuvunja tu katiba kila anapojiskia na hakuna hatua inayochukuliwa kumzuia.

Unawezaje kuzuia maandamano kwenye nchi! mikutano halali ya kisiasa! Unafungia magazeti 4 ndani ya miezi mitano!

Unatoa maagizo kwa spika wa bunge wafukuze wasiropokee ndani ili watoke waje huku nje mimi nitawashughulikia huku ni kuingilia uhuru wa bunge.

Unapuuza hadi court order ya kusitisha ubomoaji wa makazi ya watu, uheshimu sheria na tena ni kuingilia uhuru wa mahakama.


Watanzania hawawezi kuwadhibiti viongozi ni kama wanafikiri iko siku kuna mtu atakuja awapiganie hali zao za maisha na kila kitu kitaenda sawa bila wao kushiriki hizo harakati.
Watanzania tulio wengi hatufahamu elimu ya uraia. Tunaishia kudanganywa kuwa tusipoichagua CCM hatutapata maendeleo. Kwakweli wenye nia njema waisambaze elimu hii kwa njia ya utandawazi. Siku hizi hata vijijini kuna smart phones.
Thread ianzishwe hapa JF pia ili tuliokimbia umande tuelewe nafasi yetu katika jamii kama raia.
 
Katika takriban miaka miwili hii ya urais wa Magufuli, bila shaka kuna vingi tumeona.

Vingine tulihisi, sasa vimedhihiri.

Kuna kitu kipi, kibaya au kizuri, cha sifa au inda, ambacho umekigundua au ulihisi na umedhihirishiwa kutokana na urais wa Magufuli?
Double Standards, Uhalifu, Visasi, Usanii, manipulation, unafiki na Hila za Kufa mtu!
 
Nimegundua kwamba Afrika nzima ina rais mmoja tu ambaye ni JPM. Wengine ni madalali tu wa rasilimali za wananchi wao masikini kwa wazungu
 
Nimegundua kwamba Afrika nzima ina rais mmoja tu ambaye ni JPM. Wengine ni madalali tu wa rasilimali za wananchi wao masikini kwa wazungu
Afrika ina nchi ngapi unazozijua wewe na ambazo umewachunguza marais wake ni ngapi ili tujue utafiti wako umehusu Africa ipi?
 
Kwangu sikujua kuwa kuna watanzania wabinafsi wasiopenda wengine wasionakipato wapate kidogo tunachopata kama nchi. Watu wachoyo wapenda rushwa na wabinafsi. wanaopinga juhudi za raisi kusaidia tabaka la walalahoi.

Mungu saidia rais wetu Magufuli.
Mlalahoi ni nani, nipe vigezo,na ni nani alimfanya mlalahoi awe hoi?
 
Katika takriban miaka miwili hii ya urais wa Magufuli, bila shaka kuna vingi tumeona.

Vingine tulihisi, sasa vimedhihiri.

Kuna kitu kipi, kibaya au kizuri, cha sifa au inda, ambacho umekigundua au ulihisi na umedhihirishiwa kutokana na urais wa Magufuli?
double standard, mbowe marufuku kulima kando ya mto. Rosh Omari rukusa kulima kando ya mto
 
Katika takriban miaka miwili hii ya urais wa Magufuli, bila shaka kuna vingi tumeona.

Vingine tulihisi, sasa vimedhihiri.

Kuna kitu kipi, kibaya au kizuri, cha sifa au inda, ambacho umekigundua au ulihisi na umedhihirishiwa kutokana na urais wa Magufuli?
hakuna kipya - vyote anavyojitutumua navyo sasa vilishapigiwa sana kelele na upinzani tangu enzi.

kipya pekee tulichokitarajia ni kile kilichomshinda mtangulizi wake - kumfungulia mashitaka ya ufisadi the don himself Lowasa!

mimi naendelea kusubiri...
 
Kwamba kumbe kuna uwezekano wa binadamu kuishi kama shetani baada ya kuishi kama malaika kwa muda mrefu. Hili limeibuka awamu hii.
 
La msingi nililoliona ni kuwa kumbe waweza kuwa mkubwa na ukasema uongo bila kuona aibu kwa vile wapo watu wamewekwa kukushangilia
 
Katika takriban miaka miwili hii ya urais wa Magufuli, bila shaka kuna vingi tumeona.

Vingine tulihisi, sasa vimedhihiri.

Kuna kitu kipi, kibaya au kizuri, cha sifa au inda, ambacho umekigundua au ulihisi na umedhihirishiwa kutokana na urais wa Magufuli?
ungesema wewe kipi ili sisi tuongezee...
 
Katika utawala huu umenifanya nijue kuwa wananchi waliyowengi wenye uelewa mkubwa wa mambo na wale wenye uelewa mdogo wa mambo,wote pamoja wamekuwa wakitumika na wanasiasa bila wao kujua.

Kuna watu kwa uelewa wao wanafikiri kama serikali ni tajiri tu ambaye amejitolea kusaidia watanzani na si kwamba anawajibika kufanya hayo anayoyafanya,kuna wengine wanachuki na ccm kuliko wanavyochukia yale mabaya yanayofanywa na serikali hii ya ccm.

Yani wao wanachotaka na ndiyo itakuwa ushindi kwao kuona serikali ya ccm imeshindwa uchaguzi na chama kingine kuingia madarakani basi,hivyo hiyo imekuwa ni fursa kwa wanasiasa huitumia hiyo chuki katika kufanya mambo yao kupitia hao watu na ndiyo tunaona hawa watu wakifanya mambo ambayo hata wao wahakuwahi kufikiri kama yangewezekana.
 
Wakati kina Lissu na Zitto wanapigania rasilimali yeye alikuwa anatetea uwaziri,eti leo anashangaa tumeibiwa sana
 
Back
Top Bottom