RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
Sasa naanza kuamini maneno ya msomali a.k.a al-shabab Rage kua, Jukwaa la katiba ni wahuni. Tena hawawezi kusimamia hili suala la mchakato wa katiba. Nimemwona jana kibamba na yule mwanaharakati mlimani tv wanavyokua waoga wa kutoa tamko.
Nadhani CHADEMA na NCCR watoe tamko bila kuangalia hawa jukwaa la katiba. Uhuni wa mhimili wa bunge umeshindwa kusimamia maslahi ya wtz hasa walalahoi.
ENOUGH IS ENOUGH TANZANIANS WE BARED FOR CHADEMA AND NCCR.
Nadhani CHADEMA na NCCR watoe tamko bila kuangalia hawa jukwaa la katiba. Uhuni wa mhimili wa bunge umeshindwa kusimamia maslahi ya wtz hasa walalahoi.
ENOUGH IS ENOUGH TANZANIANS WE BARED FOR CHADEMA AND NCCR.