Toka bungeni leo: Muswada umepitishwa... Nini hatma yake?

Kwa namna mwanasheria mkuu wa serikali anavyoongea huku akiufagilia namna mswaada ulivyowakilishwa na namna alivyoponda hoja zilizotolewa na mh. Lissu pamoja na Machali kuna dalili zote kwamba muswada unaenda kupita bila kupingwa! Ila wajiandae, hiki ndo kifo chao moja kwa moja!! Bye bye CCM!


hatujawahi kuwa na mwanansehria mkuu wa nchi bogas kama huyu.......hana lolote ....
 
hakuna mabadiliko yoyote zaidi ya kuwa umeandikwa kwa kiswahili, upuuzi mtupu
 
Mwanasheria mkuu anasema watanzania wasipotoshwe na wabunge wachache..anasema raisi atabakia kuwa na mamlaka kubwa kama ambavyo imetamkwa....


samata ni mbunge?
salimu ahmed salim ni mbunge?
hansi kitine ni mbunge?


waacheni wachezee shilingi....
 
mimi naona hasira natamani ningekuwa mchawi nipae mpaka dodoma nimtie upofu huyu mwanasheria mkuu asione tena kwa sababu anasoma upuuzi mtupu
 
mwanasheria mkuu amemaliza kutoa hoja na ameunga hoja asilimia 100/100
 
Dawa ya hao watu iko jikoni. Tujianda vyema kupiga kura 2015 na kuwaondoa wote hao magamba kwenye nafasi zao
 
hilo lilijulikana toka awali kwamba lazima ungepita tu kwani kuna kizuizi chochote si wapo wao tu kama bunge la chama kimoja
 
hatujawahi kuwa na mwanansehria mkuu wa nchi bogas kama huyu.......hana lolote ....

Mkuu usishangae huyu jamaa tokea mwanzo alishasema tanzania haihitaji katiba mpya. Anachofanya hapo ni kujipendekeza kwa mkuu wake tu. Hana adabu kabisa huyu jamaa yaaani hawezi kusimamia anachokiamini.
 
Mwanasheria mkuu anasema watanzania wasipotoshwe na wabunge wachache..anasema raisi atabakia kuwa na mamlaka kubwa kama ambavyo imetamkwa....

HAO WABUNGE WA CCM WAJIFUNZE KUZOE MANUNDU YA MAWE KAMA SISI TULIVYOZOEA MABOMU NA MAJI YA KUWASHA............... huu mziki ni mzito popote watakapo pita ni mawe tu siyo waziri spika wala warema ni kupiga mawe sana wengine tutafute manati ya kuwinda kama njiwa
 
Naona kuna upotoshaji wa makusudi kama si dhihaka ya namna fulani hapa bungeni. Hii niliiona tangu alipokuwa akichangia yule mzee wa Bastola - Rage namna ambavyo wanalitamka jina la kwanza la mhe. Lissu.

Muendelezo huo nimeuona pia kwa Mwanasheria mkuu na pia kwa huyu mama Celina K. Hivi ni kweli hawafahamu kwamba anaitwa Tindu Lissu na badala yake kumuita "TUNDU"au ndo ktk kuendeleza vile vijembe vyao kama taarabu?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom