Alikuwa shujaa wa afrika ila alishindwa kabisa kuongeza mishahara kwa ng'we zake zote mbiliUhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.
Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.
Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Pamoja na uboya wa magufuli ila kwenye UONGOZI ALISIMAMA KAMA KIONGOZI HAKUYUMBISHWA HATA KAMA ALIAMUA MENGI KIJINGA ILA ALIUISHI UJINGA WAKE NA KUUAMINI.
Halafu akanyooka mwenyeweMabeberu hawataki hata kusikia jina lake, linawatetemesha, jamaa aliwanyoosha.
Angalia tena umekuja kuwa takataka. Mwendazake ni Raisi hovyo kuwahi kutokea. Kama vip mfuate kule kaburini ukamfufue aendelee kuwa raisi wako.That’s a how a leader should be , ni watu wachache sana wenye leadership skills za magufuli, mpaka nilikua najiuliza huyu Baba anajiamin nini kuwatunishia had wazungu wakati alikua mtoto wa mkulima tu, Yan tumepoteza mtu Makini sana Tanzania , tumerud kwenye uongozi wa kikwete
Muda mwingine unakuwaga na points ukiachana na zile habar za udakuWell said , kitu nilichomis kutoka kwa magufuli ni msimamo wake , tulikua tuna feel safe sana kwenye uongozi wake, alikua kama Baba akisema kasema, viongozi walikua wanapiga kaZi, watu walipunguzwa kuonewa.
Mbaya sana kuwa na raisi ambaye haeleweki, wananchi tunajawa hofu , ila kiongozi akisimama makini hata wananchi hofu huondoke, kama ilivyokua kipindi cha korona, magu alionyesha msimamo mkali sana kama raisi , na kama mwanaume na kama kiongozi, apumzike kwa amani
We maku tuondolee uharo wako huku!!....Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.
Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.
Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Umenena vyema MKUU.Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.
Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.
Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Mama samia 10 tenaUhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.
Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.
Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Akiwapandisha mishahara watumishi wake ndio nitaandika page 5 za utofauti wao.Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.
Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.
Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Unataka kusema Kikwete sio kiongozi mzuri?That’s a how a leader should be , ni watu wachache sana wenye leadership skills za magufuli, mpaka nilikua najiuliza huyu Baba anajiamin nini kuwatunishia had wazungu wakati alikua mtoto wa mkulima tu, Yan tumepoteza mtu Makini sana Tanzania , tumerud kwenye uongozi wa kikwete
Kwani kuna viongozi hawaendi kazini katika utawala huu wa president SSH?kuhusu kuwa na msimamo ni kweli alikuwa na msimamo,lakini je ulikuwa ni msimamo sahihi?Well said , kitu nilichomis kutoka kwa magufuli ni msimamo wake , tulikua tuna feel safe sana kwenye uongozi wake, alikua kama Baba akisema kasema, viongozi walikua wanapiga kaZi, watu walipunguzwa kuonewa.
Mbaya sana kuwa na raisi ambaye haeleweki, wananchi tunajawa hofu , ila kiongozi akisimama makini hata wananchi hofu huondoke, kama ilivyokua kipindi cha korona, magu alionyesha msimamo mkali sana kama raisi , na kama mwanaume na kama kiongozi, apumzike kwa amani