ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,849
Bwana Mwenezi Ametoa Kauli ya kushangaza sana ambayo kiufupi Haina maana.
Anatakiwa kuelewa kwamba ulinganisho ndio huleta Kipimo Cha ufanisi.
Kwa muda mrefu Magufuli amekuwa akichukuliwa kama benchline ya Kulinganisha Uongozi lakini Sasa hivi baada ya kuona Dalili za benchmark hii kuhama,Mwenezi ambae amejitanabaisha kwamba hawezi mkana Magufuli Kwa sababu ni role model wake anaonekana kukasirika hasa na takwimu zinazoonesha Ligacy inafunikwa.
Ukweli mchungu ambao bwana Makonda anatakiwa kuukubali ni kwamba Samia amewashangaza wengi ambao walitarajia ashindwe wapate visingizio vya 2025 Sasa imekuwa kinyume chake.
Je, ni Uongozi kwamba alikuta bwawa la Nyerere liko 30% na Sasa limekamilika?
Je, ni uongo kwamba 70% ya Sgr imejengwa awamu ya 6 na soon treni kutoka Dar-Dom inaenda kufanya kazi?
Je, ni uongo kwamba Samia ameleta mapinduzi sekta ya Afya?
Je, ni Uongozi kwamba Samia ameleta Mageuzi makubwa sekta ya Kilimo
Je, ni Uongo kwamba Kwa miaka 3 ya Samia TRA imepata mafanikio makubwa bila maguvu?
Je ni uongo kwamba Wapinzani wako huru kuongea vikiwemo vyombo vya habari vilivyofungiwa?
Je ni Uongo kwamba Samia amerejesha maelfu ya Ajira ?
My Take
Legacy hailindwi Bali inajilinda.Kwa hiyo bwana Mwenezi aache Kila anachokiita unafiki Kwa sababu haitakaa itokeee na haiwezekani Samia afanane na Magufuli.
Anatakiwa kuelewa kwamba ulinganisho ndio huleta Kipimo Cha ufanisi.
Kwa muda mrefu Magufuli amekuwa akichukuliwa kama benchline ya Kulinganisha Uongozi lakini Sasa hivi baada ya kuona Dalili za benchmark hii kuhama,Mwenezi ambae amejitanabaisha kwamba hawezi mkana Magufuli Kwa sababu ni role model wake anaonekana kukasirika hasa na takwimu zinazoonesha Ligacy inafunikwa.
Ukweli mchungu ambao bwana Makonda anatakiwa kuukubali ni kwamba Samia amewashangaza wengi ambao walitarajia ashindwe wapate visingizio vya 2025 Sasa imekuwa kinyume chake.
Je, ni Uongozi kwamba alikuta bwawa la Nyerere liko 30% na Sasa limekamilika?
Je, ni uongo kwamba 70% ya Sgr imejengwa awamu ya 6 na soon treni kutoka Dar-Dom inaenda kufanya kazi?
Je, ni uongo kwamba Samia ameleta mapinduzi sekta ya Afya?
Je, ni Uongozi kwamba Samia ameleta Mageuzi makubwa sekta ya Kilimo
Je, ni Uongo kwamba Kwa miaka 3 ya Samia TRA imepata mafanikio makubwa bila maguvu?
Je ni uongo kwamba Wapinzani wako huru kuongea vikiwemo vyombo vya habari vilivyofungiwa?
Je ni Uongo kwamba Samia amerejesha maelfu ya Ajira ?
My Take
Legacy hailindwi Bali inajilinda.Kwa hiyo bwana Mwenezi aache Kila anachokiita unafiki Kwa sababu haitakaa itokeee na haiwezekani Samia afanane na Magufuli.