Waziri Ummy wa Magufuli sio huyu wa Rais Samia Hassan

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Huyu mwanadada enzi za Hayati Magufuli alikuwa na nguvu ya kiti chake cha uwaziri ila sasa hivi yupo kama picha tu.

Ummy ajue hio changamoto ya NHIF sio mkurupuko, ajitathmini anything to do with bima ya afya iko chini ya uwezo wake, sio external issue.

It's something that has been hotting up for years, pending bills na excess freedom kwa hizo hospital kucharge bills kichawi mmelea nyie wenyewe serikali hasa hao mabwanyenye ndani ya serikali wataka 10% na wenye hisia zao huko.

Kofia ya mtu binafsi na kofia ya mtumishi wa umma na kubanwa na misingi hio ni kama haipo.

Serikali iko too local and insane kwenye ishu za msingi, people in govt are busy building their homestead badala ya mambo mtambuka ya kiserikali.

Hii hybrid ovu ya ubepari na ujamaa Tanzania imeshindwa. Ni ujinga serikali kutokuwa makini na ishu zinaharibu misingi ya utu ubinadamu na upendo na kusimamia uhai wa watu.

Public welfare ni automatic and fundamental priority acheni ushetani usio na maana work for the community, work for the public interests.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Huyu mwanadada enzi za Hayati Magufuli alikuwa na nguvu ya kiti chake cha uwaziri ila sasa hivi yupo kama picha tu.

Ummy ajue hio changamoto ya NHIF sio mkurupuko, ajitathmini anything to do with bima ya afya iko chini ya uwezo wake, sio external issue.

It's something that has been hotting up for years, pending bills na excess freedom kwa hizo hospital kucharge bills kichawi mmelea nyie wenyewe serikali hasa hao mabwanyenye ndani ya serikali wataka 10% na wenye hisia zao huko.

Kofia ya mtu binafsi na kofia ya mtumishi wa umma na kubanwa na misingi hio ni kama haipo.

Serikali iko too local and insane kwenye ishu za msingi, people in govt are busy building their homestead badala ya mambo mtambuka ya kiserikali.

Hii hybrid ovu ya ubepari na ujamaa Tanzania imeshindwa. Ni ujinga serikali kutokuwa makini na ishu zinaharibu misingi ya utu ubinadamu na upendo na kusimamia uhai wa watu.

Public welfare ni automatic and fundamental priority acheni ushetani usio na maana work for the community, work for the public interests.

Ni hayo tu

Wadiz


Alifanyaga jambo gani outstanding? 🤷‍♂️
 
Huyu mwanadada enzi za Hayati Magufuli alikuwa na nguvu ya kiti chake cha uwaziri ila sasa hivi yupo kama picha tu.

Ummy ajue hio changamoto ya NHIF sio mkurupuko, ajitathmini anything to do with bima ya afya iko chini ya uwezo wake, sio external issue.

It's something that has been hotting up for years, pending bills na excess freedom kwa hizo hospital kucharge bills kichawi mmelea nyie wenyewe serikali hasa hao mabwanyenye ndani ya serikali wataka 10% na wenye hisia zao huko.

Kofia ya mtu binafsi na kofia ya mtumishi wa umma na kubanwa na misingi hio ni kama haipo.

Serikali iko too local and insane kwenye ishu za msingi, people in govt are busy building their homestead badala ya mambo mtambuka ya kiserikali.

Hii hybrid ovu ya ubepari na ujamaa Tanzania imeshindwa. Ni ujinga serikali kutokuwa makini na ishu zinaharibu misingi ya utu ubinadamu na upendo na kusimamia uhai wa watu.

Public welfare ni automatic and fundamental priority acheni ushetani usio na maana work for the community, work for the public interests.

Ni hayo tu

Wadiz
She is dancing to the tune

Ile sura yake ya kutabasamu, nyuma yake imeficha mtu ambaye ubinadamu wake ni questionable
 
Alifanyaga jambo gani outstanding? 🤷‍♂️
Alipambana na corona

images - 2024-03-02T080831.239.jpeg
 
Yeyote angeweza kufanya kilochofanyika tena Pengine zaidi ya alichofanya kimsingi.
Tena mwingine matharani angeweza kuishauri Serikali vinginevyo kwa ujasiri kuepusha vifo zaidi kuliko kuachia familia zizike zenyewe na kuendelea kuambukizana zaidi.
Ni nchi gani nyingine wananchi Waliachwa kuzika wenyewe ukiachilia mbali bongo?

Takwimu zenyewe zilitia shaka za wagonjwa na vifo kila zilipotolewa, Halafu Mleta mada unataka kutuletea uchawa?
 
Back
Top Bottom