tofauti ya miaka 25 kati ya wanandoa ni sawa?

Huyo dada kafuata vitu hapo, hajamfuta mtu,
Vikisha hivyo vitu, atatafuata mtu,
Huyo dada anapenda mali, hapendi mtu!

Namhurumia kuwa atakuja kuwa mjane mapema na kupenda kwake vitu, vitamtokea puani hapo wenye vitu (watoto alozaa pembeni ) watakapokuja kudai vitu vyao.

Pretty wala usijidanganyike kirahisi kuwa huyo baba hajawahi kuoa katika umri huo! KAma ni wewe basi fikiria mara 50 dada yangu.[/QUOTE]
Hajawahi kuoa wala hana watoto. Amemchunguza vya kutosha.
 
Kwani wanamuda gani katika mahusioano yao kabla ya kufikia maamuzi ya kuoana?Je hawajawahi kudo hata siku moja ili kuthibitisha swali no.2 alilouliza dada yetu?
na kama walishadoo alifanya ulinganifu kati ya perfomance ya huyo mzee na kijana mwenzie aliyewahi kudo nae ''Hopefull atakuwa siyo bikira''.
wana muda wa miezi 6 katika uhusiano wao, na mwanaume yupo serious. Hawajawahi kudoo, mwanaume amesema hawezi kulala nae hadi ndoa, ndio maana mdada akauliza kama ataweza kuperform.
 
Kweli kabisaa....nina mfano hai dada yangu amefariki na miaka 42 amemwacha shemeji ana miaka kama 55 na watoto 5, chakushangaza binti wa kazi aliyeishi nae kwa miaka zaidi ya 6 ambaye sasa ana miaka kama 23 ameolewa na huyo baba na wameshazaa mtoto. yaani wakiongoozana ni baba na mtoto hata kwa maumbile binti ni mdogo na bonge la jibaba.

...nkawa, pole na kufiwa. Sikujua kumbe ni taboo/incest mwajiriwa kuolewa na mwajiri!
 
Huyo dada kafuata vitu hapo, hajamfuta mtu,
Vikisha hivyo vitu, atatafuata mtu,
Huyo dada anapenda mali, hapendi mtu!

Namhurumia kuwa atakuja kuwa mjane mapema na kupenda kwake vitu, vitamtokea puani hapo wenye vitu (watoto alozaa pembeni ) watakapokuja kudai vitu vyao.

Pretty wala usijidanganyike kirahisi kuwa huyo baba hajawahi kuoa katika umri huo! KAma ni wewe basi fikiria mara 50 dada yangu.
Hilo swala la ujane mapema wala sio muhimu, wangapi wameolewa na vijana na wamebaki wajane? Kufa kwa siku hizi sio umri, vijana wengi tu wanakufa na wazee wanabaki. Kama ujuavyo kuna mlipuko wa magonjwa kibao siku hizi.
 
wana muda wa miezi 6 katika uhusiano wao, na mwanaume yupo serious. Hawajawahi kudoo, mwanaume amesema hawezi kulala nae hadi ndoa, ndio maana mdada akauliza kama ataweza kuperform.

....Ingekuwa uhusiano wao una angalau mwaka mmoja na zaidi, ningesema hakuna neno lakini MIEZI SITA?? Wameishajuana Vilivyo?? Nahisi wanadanganyana. Kila mmoja wao anadhani kuna jambo atalipata kutoka kwa mwenzake!
 
wana muda wa miezi 6 katika uhusiano wao, na mwanaume yupo serious. Hawajawahi kudoo, mwanaume amesema hawezi kulala nae hadi ndoa, ndio maana mdada akauliza kama ataweza kuperform.

...pretty, 'mvi' au kipara sio kigezo cha kutambua uwezo wa mwanaume ku perform, muhimu kuridhishana.
 
mi nadhani ni pooowa tuu, kwanza ndio wataendana vizuri zaidi kwani miaka mitano tu ijayo huyu mdada akiwa keshajaaliwa watoto wawili atakuwa keshampita huyu kaka kumri(external mtizamo) si unajua tena some(if not all) wababas looks like 18 till 60's!
 
Soory to say this lakini with due respects unaweza kuamini kuwa mzee wetu Mzee Daniel Yona yuko kwenye 70's,wanaomfahamu si mtakubaliana nami kwamba anaonekana mtu wa 50's? umri ni namba tu.
 
Pretty
Hajawahi kuoa wala hana watoto. Amemchunguza vya kutosha

Huyo jamaa anaweza kuwa mkweli ila amemchunguza wapi na wapi? Kumbuka tofauti ya umri baina yao ni miaka 25; yaani huyo bwana alishakuwa mtu mzima wa kuwa na familia kabla binti hajazaliwa na isitoshe huyo binti aweza kuwa na umri wa mtoto wa kwanza wa huyo bwana! Kwa wanaume walivyo ni vigumu kudisclose kama wameshakuwa na familia huko nyuma au waeshazaa huko nyuma. Kazi huja pale ndoa imeshafungwa, unashangaa unaletewa mtoto wa kulea!

Ni vema huyo binti ajue kuwa lolote laweza kutokea na kwa mapenzi aliyonayo kwa huyo mwanaume basi awe tayari akiletewa watoto na si kuanza vita visivyokuwa na sababu.

Suala la ujane wa mapema lolote laweza kutokea lakini probability iliyopo na kwa kuzingatia wastani wa umri wa Mtanzania kuishi hilo huwezi kulipuuza (take all other factors constant). Mfano, wakati huyo bwana anafikisha miaka 75 mke wake atakuwa na miaka 50, hapo hujaona tu (take other factors constant) kuwa probability ya ujane ni kubwa?
 
wana muda wa miezi 6 katika uhusiano wao, na mwanaume yupo serious. Hawajawahi kudoo, mwanaume amesema hawezi kulala nae hadi ndoa, ndio maana mdada akauliza kama ataweza kuperform.

Hapa panahitaji umakini kweli! Inawezekana ni kwa nia njema ama kuna kitu kinafichwa. Jinsi ulivyoiweka ni kama vile huyo dada alitaka wadoo halafu njemba ikachomoa kwa kudai mapaka ndoa kwanza! Naturally, naweza kuthubutu kusema huyo si mwanaume wa kawaida! Ubavu wa kusubiri ndoa mbele ya 'mtoto' mbichi wa 25yrs anautoa wapi:D?
 
...Suala la ujane wa mapema lolote laweza kutokea lakini probability iliyopo na kwa kuzingatia wastani wa umri wa Mtanzania kuishi hilo huwezi kulipuuza (take all other factors constant). Mfano, wakati huyo bwana anafikisha miaka 75 mke wake atakuwa na miaka 50, hapo hujaona tu (take other factors constant) kuwa probability ya ujane ni kubwa?

...Ibra, kwani mjane wa umri wa miaka 50 ana kasoro gani, tena baada ya silver wedding anniversary?
 
Hapa panahitaji umakini kweli! Inawezekana ni kwa nia njema ama kuna kitu kinafichwa. Jinsi ulivyoiweka ni kama vile huyo dada alitaka wadoo halafu njemba ikachomoa kwa kudai mapaka ndoa kwanza! Naturally, naweza kuthubutu kusema huyo si mwanaume wa kawaida! Ubavu wa kusubiri ndoa mbele ya 'mtoto' mbichi wa 25yrs anautoa wapi:D?

...Imani na kujiheshimu inachangia hapo mkuu!
 
Mwanafalsafa Socrates aliulizwa na mwanafunzi wake:'Mwalimu kipi bora kuoa ama kutokuoa', naye akajibu akasema: 'eitherway you will regret' mwisho wa kunukuu.
 
wana muda wa miezi 6 katika uhusiano wao, na mwanaume yupo serious. Hawajawahi kudoo, mwanaume amesema hawezi kulala nae hadi ndoa, ndio maana mdada akauliza kama ataweza kuperform.

Kama mjamaa yuko 50 na hajapata kudoo anatia mashaka. La kama ameshawahi kudoo na wengine ila huyu hapana ni mpaka baada ya ndo pia inatia mashaka. Na huyo mtoto ni mdogo mno kumu-influence. Aende akijua anajiingiza jela, maana hapo sitegemei usawa kwenye mapenzi kati yao. There is a parent/child relationship, mapenzi hayawezi kuwa ya kweli tuseme ukweli.
 
Binti yangu mwenye miaka 25 akija kuniomba ridhaa kuolewa na mtu mwenye 50, nitachukua kalamu na karatasi na kufanya hesabu hii:

(50/2) + 7 = 32

Mwenye 50 haifai akaoa binti mwenye umri chini ya miaka 32.
(Half his age plus 7)
 
Binti yangu mwenye miaka 25 akija kuniomba ridhaa kuolewa na mtu mwenye 50, nitachukua kalamu na karatasi na kufanya hesabu hii:

(50/2) + 7 = 32

Mwenye 50 haifai akaoa binti mwenye umri chini ya miaka 32.
(Half his age plus 7)

...utakataa hata kama huyo mtu wa makamo ana 'CV' nzuri?
 
(50/2) + 7 = 32

Mwenye 50 haifai akaoa binti mwenye umri chini ya miaka 32.
(Half his age plus 7)

Interesting!

Kuna busara gani kwenye hizo namba? Are ther any scientific/social reasons?

m/2 +7=f therefore, m=(f-7) x 2 where f and m stands for the age of female and male candidates respectively.

Just curious!
 
Back
Top Bottom