Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Habari wana JF,
Kuna mwanaume ana umri wa miaka 50, kapata msichana wa miaka 25. Huyo mwanamume kampenda binti na anataka kumuoa, binti naye kampenda huyo baba.
Mwanaume hajawahi kuoa, alikuwa bado anajiandaa na maisha vizuri.
Maswali yangu,
1) Umri huu ni sawa kwa wanandoa kupishana?
2)Je kwa umri wa mwanaume, anaweza kuperform kazi yake vizuri ya ndoa kama mwanaume?
Huyo binti kampenda kweli huyo mwanaume, kaja kuniuliza haya maswali, nami nikaona niwashirikishe. Mnasemaje wana JF kuhusu hili?
Kuna mwanaume ana umri wa miaka 50, kapata msichana wa miaka 25. Huyo mwanamume kampenda binti na anataka kumuoa, binti naye kampenda huyo baba.
Mwanaume hajawahi kuoa, alikuwa bado anajiandaa na maisha vizuri.
Maswali yangu,
1) Umri huu ni sawa kwa wanandoa kupishana?
2)Je kwa umri wa mwanaume, anaweza kuperform kazi yake vizuri ya ndoa kama mwanaume?
Huyo binti kampenda kweli huyo mwanaume, kaja kuniuliza haya maswali, nami nikaona niwashirikishe. Mnasemaje wana JF kuhusu hili?