Tofauti ya jehanum na kuzimu

Tofauti ya jehanum na kuzimu

Hivi Mshana una amini kuna binadamu wanaweza ku defy kifo. Roho haitaki kutoka kabisa kama vile imetia mgomo!
 
Mie hizo dini zinazowafanyia ibada za wafu watu ili waende peponi najiuliza kwa hali hio kuna atakae enda huko motoni kweli?? Kuna dini zingine raha kweli yan kwa mujibu wa hvyo vitabu vyao wanavyovitumia vinavyowapa maelekezo hayo yaan kama ndo mie natwanga dhambi za kutosha hata siku nkifa najua nkifanyiwa ibada naenda zangu peponii[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mie hizo dini zinazowafanyia ibada za wafu watu ili waende peponi najiuliza kwa hali hio kuna atakae enda huko motoni kweli?? Kuna dini zingine raha kweli yan kwa mujibu wa hvyo vitabu vyao wanavyovitumia vinavyowapa maelekezo hayo yaan kama ndo mie natwanga dhambi za kutosha hata siku nkifa najua nkifanyiwa ibada naenda zangu peponii[emoji28][emoji28][emoji28]
Ila wa mwisho itakula kwake maana hakutakuwepo na wa kumwombea.
 
Hekaya ya Mudy wa Mecca na washkaji zake kina Abuu Sufian.
Hapa ndo dini zina nichanganya kabisa Uislam unasema MTU anapofariki basi kama ni wa Motoni anaanza kupata adhabu za Kabrini au kama ni mwema Ataanza stareheshwa .. Ukija kwa Budda wanao yao Mengine...
Hivi kwanini Tuna patishwa tabu na hizi dini hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom