Msomi na mhakiki wa mambo,huwa hana sifa ya kukata tamaa,Hapa ndo dini zina nichanganya kabisa Uislam unasema MTU anapofariki basi kama ni wa Motoni anaanza kupata adhabu za Kabrini au kama ni mwema Ataanza stareheshwa .. Ukija kwa Budda wanao yao Mengine...
Hivi kwanini Tuna patishwa tabu na hizi dini hivi
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.Inakuwaje wafu waliokufa zamani sana zaidi ya miaka elf5 iliyopita??
Je sie tunaokufa leo au kesho kiuhalisia hatuwez kufanana nao...
Je hii inapimwaje walioishi kuzimu miaka kenda na tulioenda kuzimu leo hakuna huruma hapo
Aliye kufa miaka 6000 amelala pumziko hajui neno loloteInakuwaje wafu waliokufa zamani sana zaidi ya miaka elf5 iliyopita??
Je sie tunaokufa leo au kesho kiuhalisia hatuwez kufanana nao...
Je hii inapimwaje walioishi kuzimu miaka kenda na tulioenda kuzimu leo hakuna huruma hapo
Muda kwenda mbele ni dhania yetu kwakuwa tunaishi na kukuaKitendo ni kilekile kinachobadilika ni muda tuu
Jiweke kitanzi utajuaNdugu kuzimu kuna biere?
Asante pia nimeongeza maarifa ya upande wa pili pia [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Maisha ya mwanaadam baada ya kufa,ni kweli lazima apitie kaburi kisha afufuliwe na kuhukumiwa
Imma Peponi(kama alikuwa mwema) au Motoni(Kama alikuwa muovu)
Ila kaburi,Huwa ni Bustani katika mabustani ya Pepo,kwa yule mwema
au ni Shimo katika mashimo ya Moto wa Jahannam
Utangulizi anaupatia pale kaburini kwake,
ndio maana husema
Mwenye akili,ni yule mwenye kuliandaa kaburi lake,akiwa Duniani
Na mwenye kusahau/kuzembea kufanya maandalizi,Basi atapata tabu sana
NB:Ni mtazamo upande wa Uislam
Shukran Chief Mshana Jr
Barikiwa sana
Kama wanaishia kuchungulia, je wakiamua kuingia si wanaingia? Kisha wanatoka kuendelea na mishe zao?Ni kweli kabisa wanaishia tu getini na kuchungulia ndani...hawaingii huko...hata wale manabii na mitume wanaojifanya wamefika huko ni geresha tuu
Hakuna jehanam wala pepoHapa ndo dini zina nichanganya kabisa Uislam unasema MTU anapofariki basi kama ni wa Motoni anaanza kupata adhabu za Kabrini au kama ni mwema Ataanza stareheshwa .. Ukija kwa Budda wanao yao Mengine...
Hivi kwanini Tuna patishwa tabu na hizi dini hivi
Ni kwamba kuzimu ni kama rokapu?Sawa lakini kuzimu bado sio jehanum...na kimsingi alitimiza unabii kuwa kuzimu kunaweza kutoteka na kwenye kituo cha wasubirio mashauri yao siku ya kiama