Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,216
- 859,606
- Thread starter
- #121
Wote mko sahihi ....lakini ulichofanya wewe ni kuongezea nyama ama ni kufafanua zaidiSio funguo za kuzimu,alikwenda kuchukua funguo za mamlaka ambayo shetani alikuwa nayo,ata katika zile siku arobaini zakufunga kwake shetani alimjaribu kwa kumuonyesha fahari yote ya Dunia nakumwambia iko chini yake. nakutaka asujudiwe ili amkabidhi hiyo mamlaka.
Sent using Jamii Forums mobile app