Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
Kitambo sana nimekuwa na maswali juu ya tofauti ya dc (direct current) na ac (alternate current) .
1.Mara nyingi dc ikisafir umbal hata wa mita 10 na waya mdogo haiwez kUwasha hata taa angali ac inawasha kwa waya huo huo.
2.Dc inaozesha waya kama ni mdogo angali ac haiozeshi.
3. Hasi ukiweka kwenye chanya kifaa husika kinaungua au hakifanyi kaz isipokuwakwa baaadh ya taa while Ac hata ukichangaya N iende L mzigo unapigwa tuu.
4. Ili DC isafir vizuri lazma ipite kwenye waya mkubwa.
5 Je kuna transfomer za kukuza DC?
Je haya ni kwann yapo hivi?
1.Mara nyingi dc ikisafir umbal hata wa mita 10 na waya mdogo haiwez kUwasha hata taa angali ac inawasha kwa waya huo huo.
2.Dc inaozesha waya kama ni mdogo angali ac haiozeshi.
3. Hasi ukiweka kwenye chanya kifaa husika kinaungua au hakifanyi kaz isipokuwakwa baaadh ya taa while Ac hata ukichangaya N iende L mzigo unapigwa tuu.
4. Ili DC isafir vizuri lazma ipite kwenye waya mkubwa.
5 Je kuna transfomer za kukuza DC?
Je haya ni kwann yapo hivi?