Tofauti na tozo, Waziri wa Fedha amefanya nini mwaka mmoja Toka akabidhiwe ofisi?

Amejiaribia mwenyewe inaonekana jamaa walikuwa na imani nae sana. Ukipewa nafasi ya wizara ya mambo ya nje, wizara ya mambo ya ndani au fedha; kwa mwanasiasa elewa wewe ni potential candidate wa nafasi ya juu in the future kwenye nchi zenye unitary constitution. Na hizo wizara ni senior kweli kasheshe sasa ukimsikiliza Mwigulu the nonsense is beyond me.
Au na yy kuokotwa toka jalalani? Maana msomi mwenye kuamini kuwa kuvaa mavazi yafananayo na bendera, kuimba mapambio, kushangilia kw sauti kila mara bosi ake anapotoa neno ni dalili za uzalendo, anayefikiria kutajataja majina yote ya rais kila mahala - misikitini, makanisani, mashuleni, mikutanoni...nk. ni uzalendo na sio kujipendekeza, kutajataja idadi ya digirii alizo nazo kila anapohutubia ...nk. hatoshi.
Ndo walewale wanaokaa viti vya mbele ili waonekane. Ni balaa kwamba, hapa Tz, unapokuwa na tabia ya kuketi viti vya mbele ili wakuone, kweli unaonekana. Wametoka walikotoka wamehamia huko waliko, kutimiza lengo. Ndo hao wanaomfananisha na kumuita mkuu wa nchi mungu! ...dah!
Ikiwa ni kweli uongozi unafanya maamuzi, mabaya/mazuri kw niaba, basi wanapomkosea Mungu, wanafanya hivyo kw niaba yetu pia! Matokeo, Maendeleo ya Kusadikika ...Mungu tuhurumie
 
Jana niliuliza kuhusu majukumu ya Mhe. Waziri wa mambo ya nje, Leo naangazia utendaji wa Mhe. Waziri wa Fedha.

Naomba anayeweza kueleza Mhe. Waziri wa Fedha wa Tanzania amebuni mikakati Gani yakukuza uchumi? Tofauti na kukopa pamoja na kutoza wananchi tozo ni kipi kipya chenye tija alichofanya waziri?

Je, ungetamani afanye Nini kuboost uchumi wa mtu mmoja mmoja au nchi Kwa jumla?

Mwisho nitoe angalizo waziri wa Fedha apandishi mishahara na kupandisha mishahara siyo Jambo jipya ni jambo lipo Toka ajira za Dunia zilipoanza. Kupandisha mishahara ihesabike kama kupanga Fedha za wananchi kuwalipa wafanyakazi Jambo ambalo kila mtu anaweza na Hii siyo tafsiri ya kukua Kwa uchumi.

Tuambieni amefanya nini?
Kuboresha skafu na tai
 
Jana niliuliza kuhusu majukumu ya Mhe. Waziri wa mambo ya nje, Leo naangazia utendaji wa Mhe. Waziri wa Fedha.

Naomba anayeweza kueleza Mhe. Waziri wa Fedha wa Tanzania amebuni mikakati Gani yakukuza uchumi? Tofauti na kukopa pamoja na kutoza wananchi tozo ni kipi kipya chenye tija alichofanya waziri?

Je, ungetamani afanye Nini kuboost uchumi wa mtu mmoja mmoja au nchi Kwa jumla?

Mwisho nitoe angalizo waziri wa Fedha apandishi mishahara na kupandisha mishahara siyo Jambo jipya ni jambo lipo Toka ajira za Dunia zilipoanza. Kupandisha mishahara ihesabike kama kupanga Fedha za wananchi kuwalipa wafanyakazi Jambo ambalo kila mtu anaweza na Hii siyo tafsiri ya kukua Kwa uchumi.

Tuambieni amefanya nini?

Mwigulu ameshindwa kuimudu hii wizara ya fedha ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa nchi. Ingawa the buck stops with the appointing authority; SSH sio wa kulaumiwa kwa uteuzi wa huyu bwana, mtu wa kulaumiwa ni makamu wa Rais Philip Mpango ambaye ndio aliyemshawishi mama amteue huyo bwana kama mrithi wa nafasi aliyoishika yeye kabla. Mpango alikuwa na kila sababu ya kuhakikisha kuwa waziri wa fedha aliyemfuata awe ni mtu ambaye asingekuwa mahiri kwenye mambo ya uchumi na fedha kumzidi yeye!! Na hapo ndiyo alipompendekeza Mwigulu!!!

Laiti kama SSH angemteua mtu mbobezi na mahiri wa uchumi na fedha kama STARGOMERA TAX ni wazi kuwa kazi yake ingeweza kuwa bora zaidi ya aliyofanya Mpango kama waziri wa fedha wa Magufuli!!! Itakuwa faida kwa nchi kama hiyo wizara nyeti itampata waziri mwingine mara SSH atakapofanya mabadiliko ya Baraza lake!
 
Eti deni la taifa halituhusu wananchi kwani hakuna Mtanzania atakayegongewa hodi mlangoni kudaiwa.
 
Jana niliuliza kuhusu majukumu ya Mhe. Waziri wa mambo ya nje, Leo naangazia utendaji wa Mhe. Waziri wa Fedha.

Naomba anayeweza kueleza Mhe. Waziri wa Fedha wa Tanzania amebuni mikakati Gani yakukuza uchumi? Tofauti na kukopa pamoja na kutoza wananchi tozo ni kipi kipya chenye tija alichofanya waziri?

Je, ungetamani afanye Nini kuboost uchumi wa mtu mmoja mmoja au nchi Kwa jumla?

Mwisho nitoe angalizo waziri wa Fedha apandishi mishahara na kupandisha mishahara siyo Jambo jipya ni jambo lipo Toka ajira za Dunia zilipoanza. Kupandisha mishahara ihesabike kama kupanga Fedha za wananchi kuwalipa wafanyakazi Jambo ambalo kila mtu anaweza na Hii siyo tafsiri ya kukua Kwa uchumi.

Tuambieni amefanya nini?
Kasafiri sana sana kama vile hajawahi safiri! Kala bata la kufa mtu. Kamsifia sana mama mpaka tukahisi kweli alikuwa kabanwa. Kajitahidi kutokuwa mbunifu wa kutafuta kodi kwa matajiri na makampuni makubwa. Twahisi kahamia nyumba nzuri zaidi inayostahili kukaa waziri wa fedha wa jmt. Kuonekana tbc akinadi tozo kwa walalahoi. Kajitahidi asibane matumizi serikalini kama alivyosema mama wale kutokana na kamba ilyo shingoni na haijafungwa popote…😠😡🤬
 
Back
Top Bottom