Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,490
- 11,660
Freeman Mbowe
Mbowe kwa upande wa akili. Hana. Ila anajitahidi wakati mwingine kuonesha ana busara. But angekuwa na akili na busara angekuwa mwanasiasa mzuri zaidi. Kuna kipindi sababu ya kukosa akili anakosea steps.
Mfano:
Suala la kusema alivamiwa akapigwa kuvunjwa mguu halikuwa na ukweli. Ilikuwa ni performance ambayo haikuwa na tija. Alichemka sana ktk hilo. Alianguka kwa sababu ambazo anazijua si kupigwa. Ifikie hatua tuwe wakweli tu.
But kuna kipindi anakuwa na utulivu flani mzuri. Ila bado kuna kipindi anakurupuka sana. Jana hakuweza ichambua kisomi hotuba ya Mh. Rais akakimbilia ku conclude kukatisha tamaa juhudi za Rais kuwa wakutane. Nadhani alipaswa kutulia. Kutafakari.
Tundu Antipas Lissu
Ana akili sana. Anaweza jenga hoja. Anajiamini. ila anakosa Busara na si mwanasiasa mzuri. Matamko yake huwa yanaonesha ana utoto/ujana mwingi sana. Hafikirii kabla ya kutamka. Anatamka anakuja fikiria baadaye.
Mfano:
Aliyoyaongea baada ya kifo cha Magufuli yalionesha utoto, kukosa busara n.k hata kama aliumizwa sana na Utawala ule kipindi hiki ndo angeweza kujichukulia credit kwa kuongea kama mtu aliyekomaa, but akaanza kupita akifanya sherehe na kutukana. Huo uli kuwa ni utoto.
Ukosefu wa Busara. Jambo ambalo linaonesha ana immaturity katika siasa na nini cha kuongea. Shida kubwa ya Lissu ni kuwa na mihemko. Rejea kauli ya kuwa Nyerere ali.... Kwenye bunge la katiba. Hakupaswa anene hayo. Anahitaji kujifunza nini cha kuongea na wakati gani.
Tundu Lissu angejifunza kwa akina Mandela, Lowassa n.k
Mbowe aambiwe wakati flani ni vizuri kunyamaza aonekane ana busara kuliko kuzungumza. Na anapotaka kuzungumza anapaswa aangalie nini cha kuzungumza.
Mbowe kwa upande wa akili. Hana. Ila anajitahidi wakati mwingine kuonesha ana busara. But angekuwa na akili na busara angekuwa mwanasiasa mzuri zaidi. Kuna kipindi sababu ya kukosa akili anakosea steps.
Mfano:
Suala la kusema alivamiwa akapigwa kuvunjwa mguu halikuwa na ukweli. Ilikuwa ni performance ambayo haikuwa na tija. Alichemka sana ktk hilo. Alianguka kwa sababu ambazo anazijua si kupigwa. Ifikie hatua tuwe wakweli tu.
But kuna kipindi anakuwa na utulivu flani mzuri. Ila bado kuna kipindi anakurupuka sana. Jana hakuweza ichambua kisomi hotuba ya Mh. Rais akakimbilia ku conclude kukatisha tamaa juhudi za Rais kuwa wakutane. Nadhani alipaswa kutulia. Kutafakari.
Tundu Antipas Lissu
Ana akili sana. Anaweza jenga hoja. Anajiamini. ila anakosa Busara na si mwanasiasa mzuri. Matamko yake huwa yanaonesha ana utoto/ujana mwingi sana. Hafikirii kabla ya kutamka. Anatamka anakuja fikiria baadaye.
Mfano:
Aliyoyaongea baada ya kifo cha Magufuli yalionesha utoto, kukosa busara n.k hata kama aliumizwa sana na Utawala ule kipindi hiki ndo angeweza kujichukulia credit kwa kuongea kama mtu aliyekomaa, but akaanza kupita akifanya sherehe na kutukana. Huo uli kuwa ni utoto.
Ukosefu wa Busara. Jambo ambalo linaonesha ana immaturity katika siasa na nini cha kuongea. Shida kubwa ya Lissu ni kuwa na mihemko. Rejea kauli ya kuwa Nyerere ali.... Kwenye bunge la katiba. Hakupaswa anene hayo. Anahitaji kujifunza nini cha kuongea na wakati gani.
Tundu Lissu angejifunza kwa akina Mandela, Lowassa n.k
Mbowe aambiwe wakati flani ni vizuri kunyamaza aonekane ana busara kuliko kuzungumza. Na anapotaka kuzungumza anapaswa aangalie nini cha kuzungumza.