Ni kweli, Mifano hai mingi tunayokwenye jamii yetuTusiwatenge viongozi kama ni binadamu wa aina nyingine tofauti na sisi. Hujiulizi kwanini, watu wanaoonekana ni wazalendo na wachukia ufisadi, hubadilika mno pindi wamepata madaraka.
Ina watawalaKwakuzingatia tofauti katiya "Watawala" na "Viongozi".
Je, Tanzania Yetu Ina Viongozi au Watawala?"
Karibu kwenye mjadala
Nawasilisha.
Ukweli mchungu, Tunatakiwa kubadilika, Jamii inatakiwa kubadilika.Watanzania tusitafute mchawi kabisa, ilhali sisi wenyewe ni watu wa hovyo. Jamii ambayo imejiaminisha kwamba fedha, mali na starehe ndiyo malengo makuu ya binadamu hapa duniani, usitegemee itakuza viongozi wazuri.
Vijana leo hii wanaingia kwenye siasa au wanafanya kazi ili wapate ukwasi wa kupondea raha. Waende sehemu wanywe pombe, wapate wanawake, wawe maarufu au wapate vyeo.
Pole mjomba wangu, ili mambo yasiwe mengi minilisha hamia Burundi....😂🤣Haya tumesimama Tena Kuna msafara wa Mwenge, pumbavu sana. Hii serikali ya CCM Ina mambo ya naniliu sana
Hahahahaha nahamia Zambia Mjomba, Niko na mabegi yanguPole mjomba wangu, ili mambo yasiwe mengi minilisha hamia Burundi....😂🤣
Time itaamua ,binafsi sioni generation hii ikifanya ile push back, tukifanikiwa kupata KATIBA MPYA na sio viraka itasaidia mno ku balance mambo, kuna uzi humu eti TRA officer's wamekamata suspects na kuwapiga ,hii ni makosa makubwa mno,TRA officer's hawana arresting power pia kupiga ni kuvunja sheria ila wanajifanyia with pure impunity, we need mass push backJe nini kifanyike?
Inatisha kwa kweli, sijui Tz inaelekea wapi?Sifahamu chochote, ila ambacho nina uhakika nacho ni hiki. Kiongozi yoyote wa ummah, ni zao la jamii anayotoka. Hivyo tabia za kiongozi huakisi mno tabia na aina ya jamii inayotawaliwa....
Tusiwatenge viongozi kama ni binadamu wa aina nyingine tofauti na sisi. Hujiulizi kwanini, watu wanaoonekana ni wazalendo na wachukia ufisadi, hubadilika mno pindi wamepata madaraka.
Mwanafalsafa wa kijerumani Max Weber anasema ukiona kiongozi anaishi kama mtawala "mfalme" na anategemea sana nguvu zake na hulka "charisma" kuliko sheria, kanuni na taratibu basi fahamu fika kwamba jamii anayoiongoza iko nyuma mno kimaendeleo.
Tembea sehemu muhimu za nchi hii kama, taasisi za kielimu, masoko ya ummah, maofisi ya ummah, hospitali za ummah na taasisi za kifedha, halafu angalia aina ya watu waliopo huko ndiyo utafahamu kwanini Tanzania ipo hapa ilipo. Kuna hatari kubwa mno.
Watanzania tusitafute mchawi kabisa, ilhali sisi wenyewe ni watu wa hovyo. Jamii ambayo imejiaminisha kwamba fedha, mali na starehe ndiyo malengo makuu ya binadamu hapa duniani, usitegemee itakuza viongozi wazuri.
Vijana leo hii wanaingia kwenye siasa au wanafanya kazi ili wapate ukwasi wa kupondea raha. Waende sehemu wanywe pombe, wapate wanawake, wawe maarufu au wapate vyeo.
Hedonistic Societies are inherently destructive. Ancient Rome is a prime example.....