Tofauti kati ya vitukuu vya mzungu na vitukuu vya mtu mweusi. Miaka 137 iliyopita na leo

Hapo kuna watu wanalia na wengine wanawalaumu wazungu eti wao ndio wamesababisha tuwe nyuma πŸ˜† πŸ˜‚
Inaumiza sana kuona hata wanaoiba mabilioni serikalini bado wananunua majembe ya mkono na kuwapa wafanyakazi wao badala ya tractors 🚜
Kwa hiyo usishangae sana kwani mchawi wa mtu mweusi ni wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…