ukiniona sasa hivi utanikimbia.lol
Naona unanitafutia ubaya na ndugu yangu huyu farkhina. Basi nitasubiri lkn isiwe kama subira ya kifanga ya kuambiwa na mama kuku utanyonya kesho matokeo yake hadi leo kifaranga kadanganyika.
Naona unanitafutia ubaya na ndugu yangu huyu farkhina. Basi nitasubiri lkn isiwe kama subira ya kifanga ya kuambiwa na mama kuku utanyonya kesho matokeo yake hadi leo kifaranga kadanganyika.