Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,153
Nimeshindwa kuvumilia... nimeiba muda kuja kuchungulia.when u see "CAST( in alphabetical order) & CREW jua movie ndo itakuwa imefika mwishoni..
Nimeshindwa kuvumilia... nimeiba muda kuja kuchungulia.when u see "CAST( in alphabetical order) & CREW jua movie ndo itakuwa imefika mwishoni..
My dear, watu wa humu usiruhusu wakujue hata jina lako halisi, nini sura yako.
Mkipeana makavu huko pm kama hamjuani yanaishia hukohuko, ila mkitongozana mtaani mkiwa mnajuana humu basi matokeo yake ndio haya.
Kumbe tulikua tunaelekea kuvuana vyupi? nmejifunza kitu, pata pic umevuana kyupi na member humu, alafu ukaingia kwenye mtanange kama huu...uwi.Am learning alot
Kumbe tulikua tunaelekea kuvuana vyupi? nmejifunza kitu, pata pic umevuana kyupi na member humu, alafu ukaingia kwenye mtanange kama huu...uwi.Am learning alot
My dear, watu wa humu usiruhusu wakujue hata jina lako halisi, nini sura yako.
Mkipeana makavu huko pm kama hamjuani yanaishia hukohuko, ila mkitongozana mtaani mkiwa mnajuana humu basi matokeo yake ndio haya.
ningeendelea kusema ila basi inatosha sana..nafikiri nifanyakazi nzuri na kubwa..na mind u mm sio mtu wa ovyo kama unavyofikiria..hizi assumption achana nazo jf kuna watu humu acha kabisa
Yes am coward, na nimepotoka.Huu ni upotofu, labda nikuulize kwa uchache tu, William Malecela, Ben Saanane, Yericko Nyerere hawa ni verified user kuna tatizo gani wanapata?
Coward.
Sijamaanisha kuvuana vyupi kumesababisha haya, namaanisha what if it happens ushawahi kuwa na intimacy na mtu au watu then ukaja kuwa na collission kama hii, some information about u zinaweza kutumika kama silaha kwako.Its a lesson u cant avoid to learn.
Kweli asee....kwahiyo tukwepe intimacies au tukwepe collisions?
Yes am coward, na nimepotoka.
Wao wana sababu zao za kutambulika, nami nina sababu zangu za kujificha.
Inakuhusu?
Sijamaanisha kuvuana vyupi kumesababisha haya, namaanisha what if it happens ushawahi kuwa na intimacy na mtu au watu then ukaja kuwa na collission kama hii, some information about u zinaweza kutumika kama silaha kwako.Its a lesson u cant avoid to learn.
Kweli asee....kwahiyo tukwepe intimacies au tukwepe collisions?
Kazi si kidogo. Kuwa na intimacy na mtu humu kunaweza kupunguza confidence ya mtu kiaina, lakini hakumfanyi mtu kuwa totally inferior kwa maoni yangu, unless huyo mtu ana inferiority zake tu tangu mwanzo.
Lakini pia kuanikana kuwa mlivuana vyupi ni "upungufu wa kinga akilini" hamna lingine.
The thread is open for everyone.No boundaries attached,usitukane tu 🙂!
Captain, really now? What was that for?
Captain, you have used your own minified version of my post to arrive to the conclusion that I am instructing you to do anything.
If you read between the lines and think for a little bit, you will grasp that I was showing you how I roll....
what about when I said "either you help or you do nothing" and you said I was instructing you? Didnt you know that "you" can be and was for JF Members as a whole and not you as ISO?...THOUGHT WE OUGHT TO HAVE THE SAME MINIFIED RULES!!!
🙂 Mimi nimemtusi mtu?Point me exactly where?Kasome post ya Michelle no 61....Na mtu anaemuamini mungu mwenye nia ya kutangaza jina la mungu hatumii matusi wala mwanya huo ili kujitafutia umaarufu au kupotosha watu kasome Post ya 101.Tambua unachokiongea kabla hujaandika.naona ulitaka watu wasupport tu mawazo yako, waliokuja na fact zingine za huyo huyo Mungu UNAEMWAMINI UKAWATUSI
mwanaume kuwa mtumwana wa mwanamke nayo ni kazi, tujitambueTusikimbie majukumu wanaume wa kweli hebu tupambane kuleta mababdiliko makubwa kwa kuwa uchumi na mipango inayoeleweka na kutekelezeka wanawake wa siku hizi wanapenda mwanaume mwenye upendo wa kweli, mshiko wa haja (cash) na pia mwenye vision ya kuendeleza mali na familia.
Naam, busara pamoja na mapenzi yaonekanayo tena ya wazazi wote wawili ni muhimu sana.
Kwa upande wangu wa kiume naweza kusema vitu vidogo vidogo kama kutoa vi-hugs na ku rub mgongo huku vikiambatana na maneno ya kutia moyo vina umuhimu sana katika kujenga akili, imani, na hisia chanya kwa watoto.