beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Maeneo mbalimbali Nchini yanatarajiwa kuwa na Hali ya Baridi, ikielezwa Mkoani Mbeya kiwango cha chini cha joto kinatarajiwa kufikia 10°C, Iringa 11°C, Arusha 14°C, Njombe 06°C na Dar 19°C
Utabiri wa TMA kwa saa 24 zijazo umetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa ya hadi Mita 2.2 vinatarajiwa katika baadhi ya Mikoa ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Lindi na Mtwara
Utabiri wa TMA kwa saa 24 zijazo umetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa ya hadi Mita 2.2 vinatarajiwa katika baadhi ya Mikoa ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Lindi na Mtwara