TLS, CHADEMA na wote wanaoipenda Nchi yetu, lipelekeni mahakamani suala la Bandari zetu

Uongo huo uongo huo, uongooo huo.


Sasa soma hii:

Mtu mzee ajuza akiwa mnafiki ni mchawi tu. Unaleta huu utopolo kulinganisha na grand corruption of the century ya DPW na ndugu zenu.? Sijui nyie wa pande ile mna nini hasa. Mzee Rukhsa "baba samia" ndiye aliuza Loliondo kwa waarabu. Bintiye amemalizia na sasa amerudi bandarini. Hatuwahitaji mjikate muungane na muscat kwenu.
 
Mtu mzee ajuza akiwa mnafiki ni mchawi tu. Unaleta huu utopolo kulinganisha na grand corruption of the century ya DPW na ndugu zenu.? Sijui nyie wa pande ile mna nini hasa. Mzee Rukhsa "baba samia" ndiye aliuza Loliondo kwa waarabu. Bintiye amemalizia na sasa amerudi bandarini. Hatuwahitaji mjikate muungane na muscat kwenu.
Roho zinawauma mkiona mama anauweza mfupa uliowashinda.

Unafahamu kwanini. Hata wewe unafahamu.
 
Kama inawezekana, lipeleke mahakamani hata kama mahakama zinaweza kuwa na kigugumizi kutoa haki kwa uhuni uliofanywa na magufuli a below (Public interest litigation)

Tanzania’s parliament has fast-tracked a legal amendment that threatens to severely restrict the capacity of independent rights groups to challenge laws, practices, or policies they believe violate fundamental human rights.

On June 10, Parliament amended the Basic Rights and Duties Enforcement Act to narrow the criteria for legal standing to challenge a law or policy that allegedly violates the constitution’s bill of rights.
Hiyo ni kazi ya Bunge.
 
Tulia kazi iendelee🐒🐒🐒
AAPP0t.jpeg
 
Naunga mkono hoja.
P
Mkuu hili suala tunalijadili kwa mrengo wa Siasa, kisheria au kiuchumi?
Je Kiuchumi Tz itagain au itapoteza?
Msingi wa makubaliano ni UFANISI + MAPATO, je kwa makubaliano yale kama umesoma kwetu yataeleta ufanisi na mapato?

Naomba uchangie kwa muktadha wa kiuchumi kwanza, ukitoa FAIDA na HASARA za MAKUBALIANO yale, ili tupime ubora au udhaifu wa Makubaliano yale.
 
Ninakuhakikishia hakuna wa kuweza kututisha kama Magufuli. Huyo bishoo atainua mikono juu mapema tu! Hasa baada ya unafiki wa kipumbavu kujidhihirisha. Yeye ndiye atakayeumia subirini!!
AlhamduliLlah Mwinyi alitutowa kwenye umasikini wa kutisha.

Kikwete akatutowa kwenye wizi wa kutisha.


Mama samia anatupeleka kwenye utajiri wa kutisha.
 
Kila mtu kwenye eneo lake aelimishe ndugu na Jamaal Kwamba nchi imeuzwa Kwa miaka 100000000 na wahuniiiii wanaojiita bunge
 
Mahakama hata iwe ile ya East Africa ni bora. Hizi za ndani zitatuzingua.

TLS kazi kwenu unganeni na vyama vya upinzani(sio vyote vingine ni mfu) muokoe jahazi..
 
Kama linakiuka misingi ya katiba, mahakama ina uwezo wa kubatilisha maamuzi ya Bunge, na kulitaka Bunge kufanya marekebisho.

Unakumbuka kuwa Bunge lilipitisha sheria kuwa hakuna wagomvea binafsi, halafu mahakama ikaliekeza Bunge kuwa libadilishe kipengere hicho kwa sababu kinakiuka misingi ya katiba? Bunge walikubali kurekebisha lakini hawakurekebisha. Mahakama ilitimiza wajibu, na bunge bandia halikutekeleza maagizo ya mahakama.
asante sana. naomba usome hii
 
Kwakuwa limeshaamuliwa na kupitishwa na BUNGE, Mahakama haitaweza kulitolea maamuzi tofauti Shauri hili kwani watakuwa wameingilia Uhuru au Maamuzi ya Mhimili Mwingine. Ni kupoteza Muda tu.
siyo kweli hata kidogo. Ukipata wakili mzuri na mahakama zilizo huru, wanaweza kubatilisha
 
Kama inawezekana, lipeleke mahakamani hata kama mahakama zinaweza kuwa na kigugumizi kutoa haki kwa uhuni uliofanywa na magufuli a below (Public interest litigation)

Tanzania’s parliament has fast-tracked a legal amendment that threatens to severely restrict the capacity of independent rights groups to challenge laws, practices, or policies they believe violate fundamental human rights.

On June 10, Parliament amended the Basic Rights and Duties Enforcement Act to narrow the criteria for legal standing to challenge a law or policy that allegedly violates the constitution’s bill of rights.
Mahakama zipi sasa? Nchi yetu ina mifumo kama ya Nchi za Kijamaa. Hakuna kesi hapo
 
Back
Top Bottom