Fuso la tani ngapi?Wandugu kuna jamaa wananikusanyia Mchanga , Sasa kwa wajuzi naomba msaada, fuso moja linajaa ndoo ngp za mchanga? Ili nipate hesabu sahihi.
Asante kwa anayejua..!
Kwa nini unatesa watu kiasi hiki??Wandugu kuna jamaa wananikusanyia Mchanga , Sasa kwa wajuzi naomba msaada, fuso moja linajaa ndoo ngp za mchanga? Ili nipate hesabu sahihi.
Asante kwa anayejua..!
Ni usumbufu tu huo.Unatega mchanga wa korongo?
Fuso ndogo ya kwaida kwenye bodi yake wameweka ujazo wake kama 4 cubic metre, sasa ndoo ya lita 20 ni sawa cubic metre 0.02 hivyo 4cubicmetre gawa kwa 0.02 cubic metre utapata kiasi cha ndoo 200 ya lita 20.Wandugu kuna jamaa wananikusanyia Mchanga , Sasa kwa wajuzi naomba msaada, fuso moja linajaa ndoo ngp za mchanga? Ili nipate hesabu sahihi.
Asante kwa anayejua..!
Wastani ndoo 350 Hadi 400 kama ni Lori la 4m³Wandugu kuna jamaa wananikusanyia Mchanga , Sasa kwa wajuzi naomba msaada, fuso moja linajaa ndoo ngp za mchanga? Ili nipate hesabu sahihi.
Asante kwa anayejua..!
Labda ndoo ndogo ya lita 10Wastani ndoo 350 Hadi 400 kama ni Lori la 4m³
Hiyo n ndoo ndogo kama ni ndoo kubwa ya lita 20 ni takriban ndoo 200Wastani ndoo 350 Hadi 400 kama ni Lori la 4m³
Yap ndogo Lita 10Labda ndoo ndogo ya lita 10
Shukran sana Mkuu , nimepata pa KUanzia..Fuso ndogo ya kwaida kwenye bodi yake wameweka ujazo wake kama 4 cubic metre, sasa ndoo ya lita 20 ni sawa cubic metre 0.02 hivyo 4cubicmetre gawa kwa 0.02 cubic metre utapata kiasi cha ndoo 200 ya lita 20.
Kuna jamaa wametega mchanga wa Kolongo sasa wanataka kuniuzia kwa ndoo ndo maana nilikuwa na taka kujua hivi vipimo ili nilinganishe na bei ya sokoni(tipper)Kwa nini unatesa watu kiasi hiki??
Hapa ndo nimeelewaKuna jamaa wametega mchanga wa Kolongo sasa wanataka kuniuzia kwa ndoo ndo maana nilikuwa na taka kujua hivi vipimo ili nilinganishe na bei ya sokoni(tipper)